Home Authors Posts by admin

admin

25016 POSTS 9 COMMENTS

ISHU YA NIYONZIMA KUIGOMEA YANGA IPO NAMNA HII

0
NYOTA wa timu ya Yanga, Haruna Niyonzima amesema kuwa sababu kubwa iliyomfanya asijiunge na kikosi cha Yanga ambacho leo kitacheza mchezo wa Ligi Kuu...

MBELGIJI WA SIMBA ATAJA SABABU YA MLIPILI, KICHUYA, AJIBU KUTOONEKANA UWANJANI

0
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa kuna shindani mkubwa wa namba ndani ya kikosi chake jambo linalompasua kichwa kuwapa nafasi wachezaji wake.Raia...

NAMUNGO V YANGA LEO NI SHUGHULI PEVU MAJALIWA

0
LEO Uwanja wa Majaliwa, Namungo FC itaikaribisha Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara ambao utaikutanisha miamba hii inayotesa ndani ya tano bora na...

KOCHA MTIBWA SUGAR ATAJA KINACHOIPONZA TIMU YAKE

0
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa vijana wake wanakosa utulivu wanapoingia kwenye 18 jambo linalowapa wakati mgumu wa kupata matokeo.Mtibwa Sugar,...

YANGA:TUNAZITAKA POINTI ZA NAMUNGO, MASHABIKI TUPENI SAPOTI

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa mashabiki wajitokeze kwa wingi kuwapa sapoti watakaposhuka Uwanja wa Majaliwa kusaka pointi tatu mbele ya Namungo FC.Yanga iliyo chini...

LICHA YA KUSEPA NA POINTI TATU, POLISI TANZANIA YAKIRI KUBANWA NA...

0
MALALE Hamsini, Kocha Mkuu wa Polisi Tanzania amesema kuwa ushindi walioupata mbele ya Ndanda FC haujamfurahisha kutokana na kuzidiwa mbinu na wapinzani wake.Polisi Tanzania...

KAGERE ATAJA ANACHOKIPENDA KUKIFANYA AKIWA NDANI YA UWANJA

0
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba amesema kuwa furaha yake ni kufunga na atakuwa akifanya hivyo kila akipata nafasi.Kagere ni kinara wa utupiaji ndani ya...

MWADUI FC WAISAMBARATISHA TANZANIA PRISONS

0
MWADUI FC jana Machi 14 wamesepa na pointi tatu mbele ya Tanzania Prisons kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara.Wallace Kiango dk ya 12 alianza...

NAMUNGO: TUNAZITAKA POINTI TATU ZA YANGA

0
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo ambaye atakuwa mwenyeji leo Uwanja wa Majaliwa mbele ya Yanga amesema anawatambua vema wapinzani wake jambo ambalo halimpi...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTIXTRA JUMAPILI, NDINGA UNAKAMATA...

0
MUONEKANO wa UKURASA wa mbele GAZETI la SPOTIXTRA Jumapili, unajipatia ndinga kwa jero tu
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS