admin
MBWANA SAMATTA BWANA! KUMBE KITAMBO TU ANAPAMBANA
MBWANA Samatta anayekipiga Aston Villa kwa sasa mechi yake ya kwanza kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ilikuwa Machi 20, 2011dhidi ya TP Mazembe.Zama hizo...
LIPULI WANA JAMBO LAO KWA SIMBA
PAUL Nonga, nahodha wa Lipuli amesema kuwa watapambana kupata pointi tatu mbele ya Simba kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Februari,15, Uwanja wa Samora.Nonga ni kinara...
YANGA: HATUNA CHAGUO JINGINE ZAIDI YA KUTAFUTA USHINDI
YANGA iliyo chini ya Kocha Mkuu, Luc Eymael, raia wa Ubelgiji, Februari 15 itakuwa na kibarua cha kumenyana na Tanzania Prisons kwenye mchezo wa...
SVEN KWA MABAO AFUNIKA, AIPOTEZA YANGA NAMNA HII
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba ameweka rekodi ya kuongoza kikosi hicho kufunga mabao mengi ndani ya Ligi Kuu Bara msimu huu 2019/20 akiwa...
MZEE YANGA NA UMRI WAKE WA MIAKA 85 LAKINI MAISHA YA...
Na Saleh AllyJANA ilikuwa siku muhimu na maalum kwa wanachama na mashabiki wote wanaoiiunga mkono klabu ya Yanga.Rangi mbili maarufu, njano na kijani na...
NYOTA HUYU ANAIFUKUZIA REKODI YA AJIBU KIMYAKIMYA
NICOLAS Wadada, beki wa Azam FC amezidi kuwa mwiba ndani ya Ligi Kuu Bara kwa kuikimbiza rekodi ya kiungo wa Simba aliyoiweka msimu wa...
AZAM FC YATUMA UJUMBE KWA WAPINZANI WAO COASTAL UNION
IDD Cheche, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa kwa sasa kikosi kinajipanga kwa ajili ya mchezo wao wa ligi dhidi ya Coastal Union...
SIMBA KUIFUATA LIPULI YA IRINGA LEO
BAADA ya kikosi cha Simba kupata ushindi wa mabao 3-0 mbele ya Mtibwa Sugar Uwanja wa Jamhuri Morogoro, leo kinaifuata Lipuli, Iringa.Simba ambao ni...
HIVI NDIVYO ABAROLA WA AZAM ALIVYOWANYIMA POINTI WAPINZANI WAKE KWA KUOKOA...
RAZACK Abarola, mlinda mlango namba moja wa Azam FC ameweka rekodi ya kuwatisha wapiga penalti wawili kushindwa kumtungua akiwa langoni na kuipa pointi sita...
SINGIDA UNITED INATAFUTA DAWA YA TATIZO LAO
KIKOSI cha Singida United kilicho chini ya Ramadhan Nswanzurimo juzi kilibanwa mbavu na Namungo FC kwa kufungwa bao 1-0 mchezo wa Ligi Kuu Bara...