Home Authors Posts by admin

admin

24376 POSTS 9 COMMENTS

MZEE AKILIMALI AWALILIA WANAYANGA, AOMBA MCHANGO ANAUMWA, NAMBA YAKE HII HAPA

0
Na George MgangaMjumbe wa Baraza la Wazee Yanga, Ibrahim Akilimali, amesema anahitaji mchango kutoka kwa wadau haswa mashabiki na wanachama wa klabu hiyo pamoja...

BOSS ALLIANCE: NI KWELI KUNA WACHEZAJI TUNAWACHAPA VIBOKO – VIDEO

0
Ni katika toleo la Championi juzi Ijumaa tuliona namna ambavyo makocha mbalimbali ambao wamewahi kuifundisha timu ya Alliance walivyokuwa wakilalamika kuingiliwa katika kazi yao...

SAMATTA AITAKA TIMU HII LIGI KUU ENGLAND

0
Baba mzazi wa mshambuliaji, Mbwana Samatta, Mzee Ally Samatta amefichua kuwa hakushangazwa na hatua ya Shirikisho la Soka Ulaya (Uefa) kuipanga Genk anayochezea mtoto...

LWANDAMINA AWACHOKOZA YANGA

0
Kocha wa zamani wa Yanga, Mzambia, George Lwandamina amefunguka kuwa anakuja Tanzania kwa kazi moja tu ya kuhakikisha anaifunga timu hiyo katika mchezo wa...

BILO AFUNGUKA MADUDU YANAYOFANYWA NA BOSS ALIANCE, KUMBE SUB ILIMFUKUZISHA KAZI...

0
Na George MgangaAliyekuwa Kocha Mkuu wa Alliance Shools ya Mwanza, Athuman Bilali Bilo, amesema kuwa alifukuzwa kwa sababu ya kuingiliwa majukumu yake kwenye benchi...

MANCHESTER UNITED HAWANA BAHATI, LICHA YA KUTANGULIA KUFUNGA WAAMBULIA POINTI MOJA

0
LICHA ya kutangulia kufunga bao dakika ya 10 leo mbele ya Southampton kupitia kwa Daniel James bado wamekwama kusepa na pointi tatu muhimu.Dakika ya...

STARS: TUPO TAYARI KUIMALIZA BURUNDI

0
Kocha msaidizi wa Taifa Stars, Seleman Matola amesema kuwa ana imani kikosi kitakwenda kufanya kweli kwenye mchezo wao wa kufuzu Kombe la Dunia dhidi...

AHUKUMIWA KUSAFISHA HOSPITALI MIEZI 12 KWA KUMUUA MKEWE

0
Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Mtwara imemuhukumu mkazi wa Kijiji cha Luyaya Wilaya ya Kilwa Mkoani Lindi, Atanasi Kijombo, adhabu ya kufanya usafi...

WAKENYA WATUMIKA KUIUA ZESCO

0
Kabla ya kucheza na Zesco, Yanga imepanga kucheza michezo miwili ya kirafiki ukiwemo mmoja wa kimataifa kutoka moja ya klabu nchini Kenya.Yanga inatarajiwa kucheza...

SARRI NA JUVENTUS VULULUVULULU KISA KUVUTA SIGARA

0
KLABU ya Juventus imekasirishwa na maamuzi ya Kocha wao, Maurizio Sarri kukataa kuacha kuvuta sigara licha ya kusumbuliwa na ugonjwa wa mapafu.Sarri mwenye umri...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS