admin
YANGA YAKUBWA NA MSALA, MAKOMANDOO WAJIONDOA, WAANDIKA BARUA, IDADI KAMILI HII...
Imeelezwa kuwa kundi la Task Force lililokuwa linahusika na kulinda timu ya Yanga katika michezo mbalimbali limeandika barua ya kuvunja na kujiondoa rasmi katika...
SIMBA:TUNAITAKA NGAO YA JAMII, TUTAPAMBANA MBELE YA AZAM FC
UONGOZI wa Simba umesema kuwa hakuna namna yoyote ile watakayofanya mbele ya Azam FC kwenye mchezo wao wa ngao ya jamii zaidi ya kushinda...
AZAM FC YAANZA KUIWINDA SIMBA, YAPANIA KUFANYA MAAJABU
AZAM FC tayari wameanza maandalizi ya kuiwinda Simba kwenye mchezo wa ngao ya jamii utakaochezwa Agosti 17 uwanja wa Taifa.Mchezo huo maalumu kwa ajili...
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA SPOTIXTRA ALHAMISI
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele gazeti la SPOTIXTRA Alhamisi
SIMBA KUNYOOSHA NYUMBANI / YANGA MWALIMU AJIPANGE, KMC NAWAKUBALI ” PONDAMALI”...
Nyota wa zamani wa klabu ya Yanga Juma amesema ana imani kubwa na klabu ya Simba katika michuano ya Kimataifa kuliko klabu ya Yanga...
YANGA YAONA ISIWE TABU, YATINGA CAF
Uongozi wa Klabu ya Yanga umesema kuwa umetuma maombi Caf ili kuweza kupata leseni za wachezaji wao wa kimataifa, Farouk Shikalo, Maybin Kalengo na...
TABU NYINGINE YAIANDAMA YANGA, MMOJA NJE KWA MUDA USIOJULIKANA
Beki wa kulia ya Yanga, Paul Godfrey ‘Boxer’ sasa atakuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu kutokana na majeraha ya goti aliyoyapata Jumamosi iliyopita...
UTATA KIFO FRANCIS CHEKA: MKEWE AFUNGUKA KILA KITU – VIDEO
Siku chache zilizopita ulizuka uvumi wa kwamba bondia, Francis Cheka, amefariki dunia katika ajali ya moto iliyotokea mkoani Morogoro baada ya lori la mafuta...
MECHI MOJA TU KIMATAIFA, SIBOMANA AWEKA REKODI CAF
Mshambuliaji wa Yanga, Patrick Sibomana Jumamosi iliyopita aliweka rekodi mpya kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika ambayo inasimamiwa na Shirikisho la Soka Afrika (Caf).Mshambuliaji...
HARMONIZE AVUNJA ‘MWIKO’ WA WCB, AMFUATA ALIKIBA
TETESI za Msanii Harmonize kuondoka katika lebo ya WCB zimeendelea kutikisa katika mitandao ya kijamii hapa Bongo hasa baada ya Harmonize kufuta neno ‘Signed...