Home Authors Posts by admin

admin

24376 POSTS 9 COMMENTS

KUMBE! ROLLERS YAIPELEKA YANGA KILIMANJARO

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa sababu kubwa ya kukimbilia Kilimanjaro kuweka kambi ni mazingira ya mkoa huo kuendana na yale ya nchini Botswana wanakotokea...

TANZANITE YAREJEA KIBABE, MBALI NA KOMBE WAMEBEBA TUZO NNE

0
JULIANA Shonza, Naibu Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo ameongoza msafara ulioipokea timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 20 'Tanzanite' ambayo...

JUMA ABDUL, ANDREW VINCENT PASUA KICHWA YANGA, TAMKO LA UONGOZI HILI...

0
FREDRICK Mwakalebela, Makamu Mwenyekiti wa Yanga amesema kuwa bado hajajua wachezaji wa Yanga ambao hawajajiunga na kikosi watarejea lini kwa sasa.Juma Abdul na Andrew...

SABABU YA MCHEZO WA AZAM FC NA SIMBA KUBADILISHIWA UWANJA YATAJWA

0
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetaja sababu kubwa iliyofanya kuurejesha mchezo wa ngao ya jamii kati ya Simba na Azam FC uwanja wa Taifa...

GUARDIOLA AUKANDIA MFUMO WA VAR, ATAMANI MAMUZI YABAKI MIKONONI MWA WAAMUZI

0
PEP Guardiola, Meneja wa Manchester City amesema kuwa mfumo wa sasa wa komputya wa VAR unaua utamu wa soka halisi la awali.City imeanza kutupa...

RONALDO AANZA KUCHUNGUZWA NA POLISI KISA KUSUSIA MECHI

0
POLISI wa Korea Kusini wameanza kufuatilia suala la Cristiano Ronaldo kugomea kucheza mechi ya kirafiki kati ya Juventus dhidi ya Kombaini ya mastaa wanaocheza...

BLUE KUKUSANYA KIJIJI LEO MBAGALA, KUPIGA SHOO YA KIBABE MFANO HAKUNA

0
 MSANII nguli kwenye muziki wa Bongo fleva, Mr. Blue amesema kuwa leo atatoa burudani ambayo haina mfano kwenye ukumbi wa Taifa wa Burudani Dar...

HAMISA MOBETO LEO KUPIGA LIVE NA BENDI YAKE DAR LIVE, AWAITA...

0
HAMISA Mobeto, mwanamitindo na mwanamuziki amewaambia mashabiki wake kujitokeza kwa wingi leo Ukumbi wa Taifa wa Burudani wa Dar Live uliopo Mbagala Zakhiem kupata...

ROLLERS: MUZIKI WA YANGA SIO WA KITOTO, TUNAJIPANGA KUPATA MATOKEO

0
KOCHA Mkuu wa Township Rollers,Thomas Truch, Kocha Mkuu wa Township Rollers amesema kuwa kikosi chake kina kazi ngumu ya kufanya mbele ya Yanga baada...

SIMBA YAJIPA ANGALIZO KUELEKEA MCHEZO WA KIMATAIFA DHIDI YA UD SONGO

0
MEDDIE Kagere mshambuliaji wa Simba, ametoa tahadhari kwa wachezaji wenzake akisema kwamba hawatakiwi kuwachukulia kirahisi wapinzani wao UD do Songo.Simba itamenyana na UD Songo...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS