Home Authors Posts by admin

admin

24381 POSTS 9 COMMENTS

NAHODHA TANZANITE: KICHAPO KINAWAHUSU WAPINZANI WETU KESHO

0
ENEKIA Kasonga, nahodha wa timu ya Taifa ya Wanawake ya Tanzania chini ya miaka 20, amesema kuwa kesho wanaendeleza moto wao wa ushindi kwenye...

WALICHOPANGA SIMBA KIMATAIFA NOMA, MWENDO WA YANGA BALAA, NI KESHO NDANI...

0
YANGA sasa kesho ndo kilele cha siku ya Mwananchi mambo yamepamba moto, Simba hawapoi pia ni kesho ndani ya SPOTIXTRA Jumapili

POGBA KUMBE ANAWAZINGUA MANCHESTER UNITED

0
IMEELEZWA kuwa Paul Pogba anatumia nguvu kujiondoa ndani ya kikosi cha Manchester United.Pogba hajajiunga na kikosi ambacho kitacheza na AC Milan leo mchezo wa...

AZAM FC YATOSHANA NGUVU NA RUVU SHOOTING

0
MCHEZO wa kirafiki uliochezwa leo kati ya Azam FC na Ruvu Shooting umekamilika kwa timu zote kutoshana nguvu.Mpaka dakika tisini zinakamilika hakuna timu iliyoona...

NAHODHA YANGA AWAITA MASHABIKI KESHO TAIFA SIKU YA MWANANCHI

0
PAPPY Tshishimbi, nahodha wa kikosi cha Yanga amewataka mashabiki kesho kujitokeza kwa wingi uwanja wa Taifa kushushudia burudani.Kesho ni kilele cha siku ya Mwananchi...

SPORTIPESA SIMBA WIKI YAENDELEA LEO NAMNA HII

0
KLABU ya Simba leo imetembelea hospital ya Ocean Road na kuwajulia hali wagonjwa pamoja na kuwapa mahitaji maalumu.Huu ni mwendelezo wa Simba kuelekea SportPesa...

DAU LA SAMATTA NOMA, GENK WAZIDI KUMKOMALIA KINOMA

0
UONGOZI wa klabu ya KRC Genk umeamua kuongeza tena dau kwa timu zinazomtaka mshambuliaji wake, Mtanzania Mbwana Samatta kutoka shilingi bilioni 40 hadi kufikia...

KICHUYA: NINARUDI BONGO KUCHEZA HAKUNA TAABU

0
SHIZA Kichuya ameweka wazi kwamba baada ya muda wake kumalizika ndani ya klabu ya ENNPI ya Misri kwa sasa anatamani kuondoka nchini humo huku...

HAJI MANARA ATANGAZA KUBWAGA MANYANGA NDANI YA SIMBA

0
IMEELEZWA kuwa Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara amesema kuwa anampango wa kuachia ngazi ya uongozi ndani ya Simba.Kwa sasa nafasi ya Ofisa Habari...

HIZI NDIZO SABABU ZA KINDOKI KUPIGWA CHINI YANGA, MWILI JUMBA ATAJWA

0
MWINYI Zahera, Kocha Mkuu wa Yanga amethibitisha kuwa ameliondoa jina la kipa wake, Klaus Kindoki katika usajili wao na kumpeleka kwa mkopo Lupopo FC...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS