Home Authors Posts by admin

admin

24381 POSTS 9 COMMENTS

YANGA WAENDELEA NA SPOTIPESA WIKI YA MWANANCHI

0
MASHABIKI wa Yanga wa mkaoni Njombe wamendelea na wiki ya SportiPesaWikiYaMwanachi kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii.Licha ya baridi kali ya mkoani Njombe, haikuweza...

KIKOSI CHA MAUAJI CHA MBAO FC MSIMU WA 2019/20

0
KIKOSI kazi cha Mbao FC msimu wa 2019/20 kipo namna hii:-

KUMUONA SIBOMANA, JUMA BALINYA NI BUKU TANO TU TAIFA

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa kuelekea siku ya kilele cha Mwananchi Agosti 4 mambo yamekamilika kwa asilimia kubwa ni suala la mashabiki kujitokeza kwa...

MBAPPE AMKOMALIA NEYMAR AMTAKA ABAKI PSG

0
MSHAMBULIAJI wa kikosi cha Paris Saint Germain (PSG), Kylian Mbappe amesema kuwa anataka kumuona mchezaji mwenzake Neymar Jr anabaki ndani ya kikosi hicho.Nyota huyo...

MESSI ASIMAMISHWA KUSHIRIKI MICHUANO YA KIMATAIFA MIEZI MITATU

0
LIONEL Messi, nahodha wa timu ya Taifa ya Argentina amesimamishwa kutoshiriki michuano ya kimataifa Kwa muda wa miezi mitatu.Hatua hiyo imefikia baada ya Messi...

SPOTIPESA SIMBA WIKI IMEPAMBA MOTO DAR MPAKA MWANZA, LEO NI MWENDELEZO

0
SIMBA wameamua kurejesha kwa jamii, ambapo kuelekea kwenye SpotiPesa Simba Wiki mashabiki wameanza kujitolea kwa jamii.Mashabiki wameanza kujitoa kwa kutoa damu sehemu mbalimbali na...

LEO NI ZAMU YA RUVU SHOOTING KUMENYANA NA AZAM FC

0
AZAM FC leo inashuka uwanjani kumenyana na kikosi cha Ruvu Shooting.Mchezo huu wa kujipima nguvu utachezwa uwanja wa Chamazi majira ya saa 10:00 jioni.Azam...

SIMBA: KUUJAZA UWANJA WA TAIFA NI JADI YETU, MASHABIKI JADI IENDELEE

0
HAJI Manara, Ofisa Habari wa Simba amesema kuwa uongozi wa Simba una imani na mashabiki wake hasa linapokuja suala la kuujaza uwanja wa Taifa...

YANGA: MASHABIKI JITOKEZENI TAIFA MUONE BURUDANI

0
MSHINDO Msolla, Mwenyekti wa Yanga amewataka mashabiki kujitokeza kwa wingi siku ya Agosti 4 uwanja wa Taifa kuona namna watakavyotoa burudani.Agosti 4 uwanja wa...

NAHODHA STARS: TUTAPAMBANA KUPATA MATOKEO MBELE YA KENYA

0
JOHN Bocco, nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' amesema kuwa imani kubwa kwa sasa ni kupata matokeo chanya mbele ya Kenya.Stars...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS