Home Authors Posts by admin

admin

24381 POSTS 9 COMMENTS

LIVERPOOL WATAJA SABABU YA KUSMAJILI KINDA ELLIOT KUTOKA FULHAM

0
JURGEN Klopp Meneja wa Liverpool amesema kuwa usajili wa kinda Harvey Elliot ndani ya klabu yake ni mzuri na wenye manufaa.Klopp amesema kuwa lengo...

MANENO YA AUSSEMS KUWASHTUA YANGA KUWA WALE JAMAA WA BOTSWANA “SI...

0
TOWNSHIP ROLLERSMbelgiji Mbelgiji Patrick Aussems ambaye ni Kocha wa Mabingwa wa Tanzania, Simba amewaonya Yanga kuhusiana na wapinzani wao kutoka Botswana.Aussems amewaambia wapinzani wao...

MBARAZIL WA SIMBA AKIWASHA HUKO SAUZI

0
MBRAZIL anayekipiga Simba ambaye ni kiraka anacheza nafasi ya beki wa kati na kiungo mkabaji Gerson Vieira amesema kuwa ni furaha kuwa ndani ya...

KOCHA ZAHERA ASITUMIKE KAMA FIMBO YA KUIADHIBU YANGA KUWAFAIDISHA WACHACHE

0
NA SALEH ALLYUTAKUWA umesikia zile taarifa kwamba Kocha Mwinyi Zahera hawezi kurejea tena nchini kwa kuwa anaidai Klabu ya Yanga fedha zake, hivyo ameamua...

REAL MADRID WASITISHA DILI LA BALE KUTIMKIA CHINA

0
GARETH Bale bado yupoyupo ndani ya Real Madrid kutokana na uhamisho wake wa kujiunga na klabu tajiri ya China Jiangsu Suning kupotezewa.Bale alikuwa anahitajika...

NAHODHA STARS ABEBA MATUMAINI YA KUTOSHA KUFUZU CHAN

0
JOHN Bocco nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania, amesema kuwa kwa sasa akili zao ni kwenye mchezo wa marudio dhidi ya Kenya unaotarajiwa...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMATATU

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele CHAMPIONI Jumatatu

BARCELONA WAIKANA TUHUMA YA KUMSAJILI KIBABE GRIEZMANN

0
BARCELONA imejitetea kuwa hawajafanya kosa lolote kumsajili nyota wa Atletico Madrid, Antoine Griezmann.Rais wa Barcelona, Josp Maria Bartomeu amedai kuwa Atletico Madrid hawana ushahidi...

KOCHA STARS ATAJA KILICHOWAZUIA KUPATA USHINDI MBELE YA KENYA

0
ETTIENE Ndayiragije, Kaimu Kocha wa timu ya Tanzania 'Taifa Stars' amesema kuwa sare waliyoipata imetokana na kushindwa kutumia nafasi walizozipata hivyo ni muda wa...

ZAHERA ATAJA HATMA YA YONDANI NDANI YA YANGA

0
KOCHA wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa beki wa kikosi hicho Kelvin Yondan hawezi kugoma kama ambavyo inadaiwa hivyo atajiunga ndani ya kikosi hicho...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS