admin
WABRAZIL SIMBA WAPIGA TIZI LA SAA MBILI DAR
WACHEZAJI watatu raia wa Brazil waliosajiliwa na Simba hivi karibuni, tayari wameanza mazoezi jijini Dar huku kikosi kamili cha Simba kikiwa bado hakijaanza mazoezi.Wachezaji...
KMC WATIA TIMU RWANDA, TAYARI KUIVAA TP MAZEMBE
KIKOSI cha Manispaa ya Kinondoni 'KMC' leo kimeripoti salama nchini Rwanda kwa ajili ya michuano ya kombe la Kagame.Ofisa Habari wa KMC, Anwari Binde...
LAMPARD, CHELSEA KIMEELEWEKA
FRANK Lampard amesaini kandarasi ya miaka mitatu kuwa meneja mpya wa klabu ya Chelsea akichukua mikoba ya Maurizio Sarri aliyejiunga na Juventus.Lampard mwenye umri...
AZAM FC WALIFUATA KOMBE LAO RWANDA LEO
MABINGWA watetezi wa kombe la Kagame Azam FC leo wameelekea nchini Rwanda na ndege ya Shirika la RwandaAir, ili kutetea taji lao.Michuano hiyo inatarajiwa...
MSHAHARA WA NYOTA MPYA SIMBA NI BALAA, SPOTI XTRA ALHAMISI LINA...
MSHAHARA wa Ibrahim Ajibu ni balaa, Spoti Xtra waunyaka mwanzo mwisho ni balaa
MO ATOA UJUMBE MZITO
MWENYEKITI wa Bodi ya Udhamini Simba, Mohammed Dewji 'Mo' leo ameandika ujumbe mzito kwenye ukurasa wake wa twitter ambao umekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii.Mo...
MAJEMBE MAPYA YANGA KUTUA LEO DAR
Uongozi wa Yanga chini Mwenyekiti wake DK Mshindo Msolla unaanza kuwapokea nyota wake wapya wa kigeni leo tayari kwa maandalizi ya msimu ujao wa...
KIUNGO SIMBA AMWAGIA SIFA USAJILI WA SHIKALO YANGA
Kiungo wa zamani wa Simba Mkenya, Jerry Santo ameonyesha hisia zake kwa Yanga juu ya usajili wa kipa, Farouk Shikalo.Kwa mujibu wa gazeti la...
OKWI NA SIMBA WATUNISHIANA MISULI, TIMU ILIYO KARIBU KUMALIZANA NAYE YATAJWA
Mitandao na Magazeti ya kuaminika ya Afrika Kusini yamesema uwezekano wa Emmanuel Okwi kusaini Kaizer Chiefs ni asilimia 85, lakini Simba wamedai haendi kokote.Okwi...