Marce Ben Komba
AISEE!! HUYU SAMATTA WAMUACHE…WAZUNGU WAPASUKA VICHWA WAMUOGOPA
Nyota ya nahodha wa timu ya Taifa Tanzania na mshambuliaji wa klabu ya KRC Genk, Mbwana Samatta imeendelea kung'aa baada ya juzi kufunga bao...
BACCA AFICHUA YANAYOENDELEA YANGA…”SIWEZI KUTAJA SIFA ZA MCHEZAJI…AFUNGUKA HAYA
Beki wa Kati wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans Ibrahim Abdullah 'Bacca' amesema ubora wa safu ya ulinzi wa kikosi chao ndio...
HATIMAYE SIMBA…YAPATA MRITHI HUYU WA TSHABALALA…ATOBOA SIRI NZITO
Beki wa kushoto wa Ihefu FC Yahya Mbegu amevunja ukimya na kuweka wazi kuwaniwa na timu za Simba SC na Singida Big Stars, kuelekea...
MSHAMBULIAJI BONGO…APEWA SHAVU UBELGIJI…KUKIPIGA NA SAMATTA
Imeelezwa kuwa mshambuliaji wa Kagera Sugar, Anuary Jabir 'Falcao' ameongezewa muda zaidi wa majaribio kwenye klabu ya KAA Gent inayoshiriki Ligi Kuu Ubelgiji.
Awali mshambuliaji...
TANZIA:KOCHA APATA AJALI YA GARI…AFARIKI DUNIA…KUZIKWA LEO
Mwili wa Francis John, aliyekuwa kocha wa mwanariadha, Alphonce Simbu, utazikwa leo Aprili 26 nyumbani kwake jijini Arusha.
Francis alifariki jioni ya Jumamosi iliyopita kwa...
TUCHEL AWAPIGIA SALUTI BALEKE,MAYELE…”WATAFANYA MAKUBWA CAF…AMEZUNGUMZA HAYA
Nyota Simba SC Jean Baleke na Fiston Mayele anayekipiga Young Africans, wamepewa nafasi kubwa ya kuzibeba timu zao kufanya vizuri katika michezo wa Mkondo...
KWA MARA YA KWANZA…SIMBA WAFUNGUKA MIPANGO YAO HII YA SIRI MECHI...
Uongozi wa Simba SC umeweka wazi kuwa matokeo ya mwisho ndiyo yataamua hatma yao ya kutinga Nusu Fainali Ligi ya Mabingwa Afrika, licha ya...
EE BWANA!! MAYELE AWEKA REKODI HII MPYA YA KIBABE…AMEZUNGUMZA HAYA
Nimeweka rekodi! hii ni kauli ya kinara wa upachikaji wa mabao Kombe la Shirikisho Afrika (5) na Ligi Kuu Bara (16), Fiston Mayele ambaye...
RASMI LIONEL MESSI AREJEA BARCELONA…ISHU NZIMA A-Z HII HAPA
Tetesi za Mshambuliaji wa PSG, Lionel Messi kurejea tena kwenye Klabu yake ya zamani ya Barcelona zimezidi kushika kasi baada ya nyota huyo kusafiri...
MOSSISON AUZA MECHI NIGERIA…BALEKE,CHAMA WAFA NA WAARABU
Good Morning Mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam April 25, 2023,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya...