Staff Desk
KIKAO CHA SAA MBILI,SIMBA MOTO…. VIONGOZI WACHARUKA…. MASTAA WAJIBU MAPIGO
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
GAMONDI: TUNAKWENDA ROBO FAINALI CAF
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
KOCHA MPYA SIMBA ATOA MAAGIZO HAYA KWA MASTAA KABLA HAJATUA NCHINI
BAADA ya mechi ya jana dhidi ya Asec Mimosas ya Ivory Coast, kikosi cha Simba kimepewa mapumziko ya siku moja na kesho kitarejea mazoezini...
GAMONDI ATAJA SABABU ZA KUPOTEZA MCHEZO WAO KIMATAIFA…… AL AHLY YATAJWA...
Wakati Yanga ikirejea leo alfajiri ikitokea Algeria, kocha wao Miguel Gamondi amesitisha kutoa mapumziko kwa wachezaji wake huku akifichua siri ya kupoteza mechi yao...
HAWA SIMBA, YANGA MBONA KAMA WANATULETEA UTANI KIMATAIFA
Simba na Yanga wote wameanza vibaya katika michuano ya ligi ya mabingwa Afrika kwenye hatua ya makundi baada ya kushindwa kupata ushindi.
Hii ni kama...
AHMED ALLY AWATULIZA MASHABIKI WA SIMBA
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, timu ya Simba SC, imebanwa mbavu nyumbani kwa kulazimishwa sare ya 1-1 na Asec...
WACHEZAJI SIMBA HALI TETE KIGOGO WA SIMBA AFUNGUKA HAYA
Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, timu ya Simba SC, imebanwa mbavu nyumbani kwa kulazimishwa sare ya 1-1 na Asec...
JENGO LA YANGA LAPIGWA MNADA KISA HIKI HAPA
Mara kwa mara jengo la Klabu ya Yanga limekuwa katika hatihati ya kutaka kupigwa mnada na Benki ya Nyumba (THB).
Ni miaka ya hivi karibuni...
MASHABIKI WA SIMBA NA MSONGO WA KUKOSA MATOKEO MAZURI, WAISUSA SIMBA...
Msongo wa kukosa matokeo mazuri bado inaonekana kuwakumba mashabiki wa Simba baada ya kuibuka kwa idadi ndogo kuipa nguvu timu yao.
Simba itashuka Uwanja wa...
UNAJUA SIMBA WALIMNASA VIPI BENCHIKHA….. MBINU ILITUMIKA HIVI
Sahau matokeo ya Simba iliyopata mbele ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast kwenye pambano la Kundi B la Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba imewasapraizi...