Staff Desk
SIMBA HAKUNA MUDA WA KUPOTEZA MO AWEKA BILIONI 1 KUIUWA AL...
TAJIRI na mwekezaji wa Simba, Mohammed Dewji ‘Mo’ na jopo lake, wamewawekea mezaji wachezaji Sh1 bilioni ili waitoe Al Ahly kwenye michuano ya Africa...
SARE YA SIMBA vs AL AHLY YAMUIBUA MSIGWA AFUNGUKA KUHUSU GOLI...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa ameeleza kuwa mchezo wa Simba dhidi ya Al Ahly ya Misri hauna goli...
MASHABIKI SIMBA WAMUANGUKIA KIBU
Jitihada kubwa za kulisakama lango la Al Ahly katika mchezo wa jana zilikuwa zaidi miguuni mwa mshambuliaji Kibu Denis aliyefunga bao la kusawazisha.
Ulikuwa mchezo...
MWAMBA HUYU HAPA ALIYEBADILISHA MCHEZO SIMBA vs AL AHLY
Sadio Kanoute Putin mimi napenda kumuita Midfielder Dynamo.
To be honest kipindi cha pili kijana kabadilisha mchezo mzima.....kwanza kaongeza kasi ya mchezo,fujo kwenye pressing na...
MECHI YA YANGA YAAHIRISHWA
Mchezo wa Kirafiki kati ya Yanga na Mlandege uliopangwa kuchezwa leo saa 03:30 asubuhi huko Avic Town umeahirishwa.
Kwa mujibu wa taarifa Yanga waliomba mchezo...
SIO KINYONGE….. TAJIRI AWAAHIDI MASTAA SIMBA BILIONI, RAIS MWINYI ASHUHUDIA
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
KISA YANGA CHIVAVIRO ANUNUA MKATABA KAIZER
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
KUMBE MASTAA HAWA NDIO WANAMPA KIBURI GAMONDI
Miguel Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga katika kikosi chake ana majembe mawili ya kazi yanayompa kiburi cha kuwa imara kwenye upande wa ulinzi kutokana...