Staff Desk
UCHAWI WA GAMONDI YANGA HUU HAPA
Habari mwanamichezo mwenzangu kutoka Dar es salaam leo ni asubuhi nyingine nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika magazeti ya michezo
WAZIRI WA UTAMADUNI AWEKA UTABIRI WA KIBABE SIMBA, YANGA CAFCL
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Damas Ndumbaro amesema hatua ambayo Simba na Yanga zimefikia kucheza makundi Ligi ya Mabingwa Afrika huenda ikatokea...
KWELI HII HATARI WATU WANAIJUA SIMBA KULIKO STARS
Mchambuzi wa soka Bongo, Amri Kiemba amechambua kuhusu mashabiki wa soka kuizungumzia klabu ya Simba kuliko timu ya Taifa.
Huu hapa uchambuzi wake;
"Inawezekana TFF ina...
GAMONDI ATOA ONYO KUHUSU UBINAFSI KISA MASTAA HAWA
Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans, Miguel Angel Gamondi, amewataka wachezaji wa timu hiyo kuacha kuangalia mambo binafsi haswa katika...
UJIO WA MANULA WAMPA WASIWASI MWARABU WA SIMBA
Mashabiki wa Simba kwa sasa angalau wana furaha baada ya kusikia kipa namba moja wa timu hiyo, Aishi Manula amerejea uwanjani na juzi kucheza...
SIMBA SASA MBIONI KUSAKA FAINI YA MKALI HUYU
Taarifa za kuaminika ni kuwa Uongozi wa Simba unaendelea na mazungumzo na wakala wa kiungo wa kati wa MAS Fes, Banfa Sylla ili kuipa...
YANGA WATOA TAARIFA HII MPYA MAPEMA LEO
Yanga iko mbioni kuzindua jezi maalum itakayotumika kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika kuanzia hatua ya makundi.
Sheria Ngowi ambaye ndiye mbunifu wa...
SIMBA WATAMBA, AL AHLY AMEKUJA KIPINDI KIBAYA
Klabu ya Simba imesema kuwa wapinzani wao kwenye michuano ya African Footbal League (AFL), Al Ahly wamekuja katika kipindi kibaya kwani Mnyama atawatafuna mapema...
MRITHI WA MAYELE YANGA HALI TETE AKOSA PAKUSHIKA
Mshambuliaji Emmanuel Mahop, aliyekuwa akihusishwa kujiunga na Yanga kwenye dirisha lililopita la usajili amerudi nchini Cameroon baada ya kufeli majaribio katika Klabu inayoshiriki Ligi...
KUMEKUCHA FEI TOTO ATAKA KULIANZISHA TENA AZAM, ADAI HANA FURAHA
Aliyekuwa kiungo mshambuliaji wa Yanga SC ambaye kwa sasa anakipiga Azam FC, Feisal Salum Abdallah 'Fei Toto' hana furaha ndani ya klabu ya Azam,...