WALIOMALIZA MIKATABA NA MAJEMBE MENGINE MAPYA HAWA HAPA , NI LISTI KAMILI- VIDEO

0

YANGA imesajili wachezaji saba wa kigeni ambao ni mabeki, Lamine Moro (Ghana) na Mustapha Selemani (Burundi). Washambuliaji, Sadney Ukhob (Benin), Issa Bigirimana (Burundi), Patrick Sibomana (Rwanda), Juma Balinya (Uganda) na Kalengo Maybin (Zambia).

PIERRE LIQUID AICHAMBUA KIUFUNDI MECHI STARS VS SENEGAL – VIDEO

0

SHABIKI wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars Pierre Liquid ambaye aliungana na wabunge wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kwenda Misri kuishangilia Timu ya Taifa Stars ikicheza na Senegal na kupata kipigo cha mabao 2-0.

KAHATA NA SIMBA MAMBO YAMEIVA

0

Inaweza ikawa taarifa nzuri zaidi kwa mashabiki na wapenzi wa klabu ya Simba ambapo taarifa zinasema mabingwa hao watetezi wa Ligi Kuu Bara bado wapo kwenye mazungumzo na Francis Kahata kwa ajili ya kujiunga nao.Kahata ambaye amemaliza mkataba na Gor Mahia FC ya Kenya, anaelezwa kufikia pazuri kimazungumzo na Simba na kuna uwezekano mkubwa akajiunga nao mwezi ujao.Taarifa kutoka...

YANGA YAONYESHA JEURI YA FEDHA, USAJILI WAKE KUFURU

0

YANGA wametumia zaidi ya Sh900mil mpaka lengo likiwa ni moja tu kusuka kikosi chenye muonekano mpya na hadhi ya klabu hiyo. Fungu hilo ambalo limetokana na michango mbalimbali ya wadau na wanachama wa Yanga ni kwa kuanzia tu kwani bado mchakato unaendelea na huenda ukamalizika wiki ijayo.Habari za uhakika kutoka ndani ya uongozi wa Yanga ni kwamba wameweka makadirio...

HILI SASA NI BALAA, MAMA TANASHA AZUIA NDOA YA MONDI NA MWANAYE

0

Achana na sababu alizowahi kuzitoa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ juu ya kuahirisha ndoa yake na Tanasha Donna Oketch, lakini kumbe nyuma ya pazia, mama mzazi wa mrembo huyo, Diana Oketch anadaiwa kuwa ndiye chanzo kikuu, Gazeti la Ijumaa limedokezwa.Diana, mama anayeonekana bado anaita na akitembea na Tanasha unaweza kubisha kuwa siyo mama na mwanaye kutokana na mwonekano wao,...

MRITHI WA SARRI NDANI YA CHELSE, LAMPARD KUTANGAZWA BAADA YA MASAA 48

0

Frank Lampard anapewa nafasi kubwa ya kurejea kwenye timu yake ya zamani ya Chelsea akiwa ni meneja ndani ya siku mbili.Mchezaji huyo wa zamani anatajwa kurejea ndani ya Stamford Bridge pamoja na mchezaji mwingine wa zamani Jody Morrris huku wakitarajiwa kutangazwa ndani ya masaa 48 yanayofuata kwa mujibu wa talkSport.Lampard mwenye miaka 41 amekuwa akitajwa kuwa chaguo namba moja...

MANCHESTER UNITED WAIPIGA CHINI OFA YA NEYMAR

0

MANCHESTER United wameipiga chini ofa ya kubadilishana mchezaji wao Paul Pogba na timu  ya Paris Saint Germain (PSG) kumpata Neymar.Pogba anaonekana ana mpango wa kusepa Old Trafford msimu huu baada ya kusema kwamba ni muda wake sahihi wa kupata changamoto mpya.Real Madrid na Juventus wote wameonekana wakipambana kuipata saini yake huku Neymar akifikiria kurejea Barcelona.Mbrazili huyo ameonyesha nia yake ya kurejea...

ULE MSELELEKO WA DStv WIKIEND HII UNAKUJIA NA MAJAMAA WA WATUBAKI…USIPOCHEKA UNASHIDA YA BANDAMA….

0

Vunja mbavu na Vichekesho vya Watubaki kila siku za Jumamosi saa 3 usiku kupitia chaneli ya Maisha Magic Poa 144 inayopatikana kuanzia kifurushi cha Poa 9,900/= tu ndani ya @dstvtanzania pekee.Piga *150*53# kulipia kwa urahisi zaidi.#DStvEwaaaah

ZAHERA ATAJA SABABU NYINGINE YA KUFUNGWA NA OKWI, AWATAJA CAF

0

BAADA ya timu ya taifa ya DR Congo kupokea kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa Uganda, juzi Jumamosi, Kocha Msaidizi wa DR Congo, Mwinyi Zahera amesema kuwa chanzo cha kipigo hicho ni uchovu walioupata siku moja kabla ya mchezo huo.Kikosi hiko cha DR Congo ambacho kimejaa mastaa, kimejikuta kikichezea kichapo hicho katika mchezo wao wa kwanza wa Kundi A...