AZAM FC YAWAITA MASHABIKI UHURU KUSHUHUDIA BURUDANI
JAFFARY Maganga, Ofisa Habari wa Azam FC amesema kuwa mashabiki wajitokeze kwa wingi kesho, Februari 15 Uwanja wa Uhuru kuona burudani kutoka kwa wachezaji...
TWIGA STARS KUANZA KAZI LEO NA MAURITANIA MASHINDANO YA UNAF
BAKARI Shime, Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake Tanzania, Twiga Stars amesema kuwa watatumia nafasi ya kualikwa kwenye mashindano ya Umoja wa...
YANGA : PRISONS SIO WEPESI ILA TUTAPAMBANA KUPATA POINTI TATU
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa mchezo wa kesho dhidi ya Tanzania Prisons hautakuwa mwepesi kutokana na ugumu wa timu ambayo watakutana nayo.Prisons itashuka Uwanja...
MUONEKANO WA UKURASA WA NYUMA GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa UKURASA wa nyuma Gazeti la Championi Ijumaa
MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Ijumaa
EYMAEL WA YANGA AMPA MAJUKUMU MAZITO MUIVORYCOAST
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amemtaka mshambuliaji wake Yikpe Gislein raia wa Ivory Coast kufunga mabao mengi.Eymael amemtaka nyota huyo aongeze juhudi baada...








