MATOLA WA LIPULI AIBUKIA POLISI TANZANIA, ASAINI MWAKA MMOJA

0

SELEMAN Matola amepewa kandarasi ya kuinoa timu ya Polisi Tanzania iliyopanda Daraja msimu huu kushiriki Ligi Kuu Bara.Matola ambaye alikuwa kocha wa Lipuli ametambulishwa leo wa ajili ya kuanza kuinoa timu hiyo na atafanya kazi kwa kushirikiana na Ali Suleiman ambaye ndiye mkurugenzi wa benchi la ufundi.Ofisa Habari wa Polisi Tanzania, Frank Lukwaro amesema kuwa huo ni mwanzo tu...

KUMEKUCHA NAMUNGO, WAGOMEA WACHEZAJI WA MAJARIBIO

0

UONGOZI wa Namungo FC umesema kuwa kwa sasa haufikirii kusajili wachezaji wa majaribio na badala yake wanafanya kazi kubwa kusajili wachezaji wenye uwezo wa kushindana.Akizungumza na Salehe Jembe, Ofisa Habari wa Namungo FC, Kidamba Namlia amesema kuwa baada ya kikosi kupanda ligi kuu, hesabu kubwa ni kusuka kikosi cha ushindani na sio cha majaribio."unajua kwamba ushindani wa kwenye ligi...

NYOTA WA BARCELONA AISHANGAA STARS, AIPA NAFASI YA KUFANYA MAAJABU AFCON

0

NYOTA wa zamani wa timu ya Barcelona, Chelsea, Inter Milan na timu ya Taifa ya Senegal, Samuel Etoo ameishangaa kuskia Tanzania inashiriki michuano ya Afcon mara baada ya kupita miaka 39.Etoo amesema kuwa wakati anacheza na Senegal alipata bahati ya kucheza na kikosi hicho mara kadhaa lakini na aliona vipaji vingi kwa wachezaji wa Tanzania."Nimeshangazwa kuskia kwamba Tanzania inashiriki...

KUMBE KILICHOMPONZA AIYEE ASIWIKE NI JERSON TEGETE NA KELVIN SABATO

0

MSHAMBULIAJI wa Mwadui FC, Salum Aiyee ambaye ni namba moja kwa wazawa msimu wa 2018/19 kwa kucheka na nyavu akiwa na mabao 18 amesema kuwa washambuliaji wakali ndani ya Mwadui walimzuia asiwike kutokana na ugumu wa namba.Aiyee amesema kuwa alianza kucheza soka akiwa na Mwadui msimu wa 2014/15 na alikuwa anaanzia benchi kutokana na kukutana na washambuliaji wenye uwezo...

SIMBA MPYA UTAIPENDA, MKENYA AFUNGUKA

0

SIMBA imemalizana na mastaa wawili matata wa kigeni ambao mmoja ni straika na mwingine ni beki wa kushoto atakaemrithi Asante Kwasi.Majina hao pamoja na mengine yanapaswa kuwasilishwa kwa haraka Caf kabla ya Juni 30, mwaka huu tayari kwa Ligi ya Mabingwa Afrika.Mmoja wa viongozi wa Simba aliiambia Spoti Xtra jana Jumatano kwamba, wameshakamilisha ishu zote kuhusiana na wachezaji hao...

KAMATI MPYA YA USAJILI YANGA NOMA

0

KAMATI ya usajili wa Yanga bado ni siri kubwa na huenda ikatangazwa wikiendi hii lakini Spoti Xtra limenasa majina ya vigogo waliopo.Kwa mujibu wa taarifa ambazo imezipata Spoti Xtra, kamati hiyo inaundwa na mabosi wengi wanaojiweza kifedha na mipango ya ndani na nje ya uwanja chini ya Mwenyekiti wake, Franck Kamugisha.Spoti Xtra limebaini kwamba, anasaidiwa na Ahmad Islam ambaye...

MTIBWA SUGAR WAPANIA KUSUKA KIKOSI CHA USHINDANI

0

UONGOZI wa Mtibwa Suar unesema kuwa msimu ujao wataboresha kikosi na kukifanya kiwe cha ushindani zaidi ya msimu uliomalizaka.Akizungumza na Salehe Jembe, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru amesema kuwa kwa sasa wanapitia ripoti ya Kocha Mkuu Zuber Katwila."Msimu wa 2018/19 tulichechemea kidogo mwanzo ila kwa sasa tunajipanga kufanya makubwa zaidi msimu ujao, tunapitia ripoti kabla ya kuongeza...

SIMBA WAAMUA KUIIGA YANGA KWA JAMBO HILI

0
Uchaguzi Mkuu Simba

Klabu ya Simba imetangaza rasmi kuandaa mchakato wa kupata wimbo wake maalum kwaajili ya mashabiki kama sehemu ya kuongeza hamasa.Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo Crescentius Magori amesema wimbo huo utakuwa tayari kabla ya kuanza kwa wiki ya Simba mwezi Agosti mwaka huu hivyo watakaribisha tungo mbalimbali kutoka kwa wasanii.Amesema mchakato huo utasimamiwa na Mkuu wa Kitengo cha Habari na...