KAGERE AWAFUNGUKA MABOSI WAKE KWA KITENDO CHA KUMSAJILI KAHATA

0

MSHAMBULIAJI wa Simba, Mnyarwanda, Meddie Kagere, amesema kitendo cha uongozi wa timu hiyo kumsajili kiungo Francis Kahata, basi mashabiki wa timu hiyo watarajie moto mkubwa kutoka kwao kutokana na kujuana vizuri.Kagere ametoa kauli hiyo zikiwa zimebaki siku chache kabla ya kikosi hicho kwenda kuweka kambi nchini Afrika Kusini Juni 15, mwaka huu kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya...

TANZANIA PRISONS KUMCHOMOA MSHAMBULIAJI MMOJA WA SIMBA

0

NYOTA wa Simba, Marcel Kaheza kwa sasa yupo kwenye hatua za mwisho kujiunga kwenye kikosi cha Tanzania Prisons.Kaheza amemalizana na AFC Leopards ya Kenya alikokuwa anakipiga kwa mkopo kwa sasa yupo Dar habari zimeeleza kuwa anawinwa na Prisnons.Mmoja wa kiongozi wa Tanzania Prisons amesema kuwa walianza kufanya mazungumzo na Kaheza kabla ya kutua Simba akitokea MajiMaji FC."Tulianza kufanya mazungumzo...

KIPA MPYA YANGA AIPA UBINGWA MAPEMA

0

MLINDA Mlango mpya wa Yanga, Metacha Mnata amesema kuwa hana hofu na changamoto mpya ambazo atazipata ndani ya kikosi chake hicho.Mnata amejiunga na Yanga kwa kandarasi ya miaka miwili akitokea klabu ya Mbao FC."Najua kazi ni kubwa msimu mpya na nipo ndani ya Yanga kwa kuwa kazi yangu ni mpira, sina mashaka na kipaji changu nitapambana kufanya vema na...

AZAM FC YACHEKELEA KUTINGA ROBO FAINALI

0

UONGOZI wa Azam FC umechekelelea kutinga hatua ya robo fainali baada ya timu ya KCCA kushinda kwa mabao 2-1 dhidi ya Mukura FC.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa Azam FC Jaffari Maganga amesema kuwa haikuwa kazi rahisi kupenya hatua hiyo kutokana na ushindani uliopo."Tumepata fursa ya kupenya robo fainali baada ya KCCA kushinda kwa mabao 2-1 dhidi ya...

MANCHESTER UNITED YAFUTA KABISA MPANGO WA KUMUWINDA LEMINA

0

MANCHESTER United imefutilia mbali nia yao ya kutaka kumsajili kiungo wa Southampton, Mario Lemina mwenye umri wa miaka 25.Kiungo huyo amekuwa akihusishwa kutua ndani ya United pia anapigiwa hesabu na Arsenal.Inaripotiwa ilikuwa ikimuwinda chinichini staa huyo mzaliwa wa Gabon ambaye hajasafiri na Southampton kwenye mechi za maandalizi za maandalizi ya msimu mpya, dau lake linatajwa kuwa pauni milioni 30.

SIMBA RAHA AISEE, BAADA YA KUSAINI MIAKA MIWILI GADIEL AONESHA NDINGA YA MAANA

0

Baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba SC, beki Gadiel Michael ameweka hadharani ndinga yake mpya kupitia ukurasa wake wa Instagram kama inavyonnekana hapo juu.

COASTAL UNION YAUPIGIA HESABU KALI MSIMU UJAO

0

KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Juma Mgunda amesema kuwa msimu ujao watapambana kupata matokeo chanya kwenye michezo yao yote.Akizungumza na Saleh Jembe, Mguda amesema kuwa wanatambua msimu ujao utakuwa mgumu hivyo hesabu kubwa ni kujipanga vema."Tunajua kwamba msimu ujao hautakuwa mwepesi nasi tumejipanga kufanya vema, mashabiki waendelee kutupa sapoti kwani tuna kazi ngumu ya kufanya," amesema Mgunda.

UONGOZI WA YANGA KULA SAHANI MOJA NA WAPIGAJI WA NEMBO

0

UONGOZI wa klabu ya Yanga umewataka mashabiki na wadau wa Yanga kuacha vitendo vya kuihujumu nembo ya Yanga kwa kuchukua bidhaa feki kwani tayari wamepata dawa ya kudhibiti vitendo hivyo. Akizungumza na Saleh Jembe makamu mwenyekiti wa Yanga, Fredirick Mwakalebela amesema kuwa wamejipanga kudhibiti wapigaji wote msimu ujao bada ya kumpata mzabuni mpya ambaye ni GSM.GSM inamilikiwa na bilionea...

KUMEKUCHA. YANGA, SIMBA KUSAJILI KWA FAINI

0

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa timu zote zinazoshiriki Ligi Kuu Bara zinapaswa kukamilisha usajili kwa njia ya mtandao (Tanfootball Connect) kabla ya usajili kufungwa na kwa wale ambao wanashiriki michuano ya kimataifa kwa sasa lazima wapigwe faini.Timu ambazo zinashiriki michuano ya kimataifa ni pamoja na Simba, Yanga kwenye Ligi ya Mabingwa huku Azam FC na KMC wakishiriki...