KIKOSI ALICHOKICHAGUA ALLY KIBA HIKI HAPA

0

LEO Jumapili uwanja wa Taifa kutakuwa na mchezo wa hisani kwa timu ya Ally Kiba na Mbwana Samatta inayokwenda kwa jina la Nifuate ambao ni wa hisani lengo ni kurejesha wanachokipata kwa wenye mahitaji.Hiki hapa ni kikosi cha Ali Kiba:-Ally KibaFeisal SalumSaid NdemlaIbrahim AjibuShiza KichuyaEmmanuel OkwiHaruna NiyonzimaAbdul KibaSaimon MsuvaJames MsuvaMohamed BinsulmTunda ManAbdi BandaAishi ManulaAggrey MorrisMeddie Kagere Stanley Mkomola

SAMATTA: SIKUTARAJIA KUPEWA TUZO MBILI, KAZI INAANZA LEO NIFUATE

0

 Mbwana Samatta nahodha wa timu ya Taifa ya Tanzania,'Taifa Stars' amesema kuwa hakutarajia kupewa tuzo za heshima na uongozi wa Global Group jambo ambalo limemshangaza alipotembelea ofisi za Global Group jana.Samatta ambaye anayekipiga KRC Genk, leo atakuwa uwanja wa Taifa kumenyana na timu Kiba, kwenye mchezo wa hisani wenye lengo la kurudhisha thamani kwa jamii inayowazunguka hasa yenye mahitaji.Akizungumza...

STRAIKA ZESCO UNITED AMWAGA WINO WA MIAKA MIWILI YANGA

0

Imeelezwa kuwa Mshambuliaji kimataifa kutoka Zambia na klabu ya Zesco United, Kalengo Maybin mwenye umri wa miaka 20, amesaini mkataba wa miaka miwili ndani ya klabu ya Yanga.Taarifa zinasema tayari beki huyo na klabu wameshamalizana tayari kwa maandalizi ya msimu mpya ujao wa 2019/20.Usajili huo ni moja ya mapendekezo ya Kocha, Mwinyi Zahera ambaye ameamua kukiboresha kikosi chake kurejesha...

KIUNGO TEGEMO WA KIMATAIFA SIMBA ATANGAZA KUPOKEA OFA TATU ZA NJE – VIDEO

0

Kiungo aliyerejea kwenye fomu yake na kuwa tegemo ndani ya kikosi cha Simba, Mnyarwanda, Haruna Niyonzima, amezungumzia ofa alizozipata mpaka sasa nje ya timu yake.

KAGERE ANATAKIWA KWENDA ZAMALEK NA TP MAZEMBE, WAKALA WAKE AZUNGUMZA – VIDEO

0

Meneja wa straika wa Simba Meddie Kagere, Patrick Gakumba akizungumzia dili za mchezaji wake kwenda kucheza soka nje ya nchi.

KAGERE ATANGAZA KUONDOKA SIMBA – VIDEO

0

Straika wa Simba, Meddie Kagere akifunguka juu ya hatma yake na wekundu wa Msimbazi baada ya msimu huu kumalizika.

DUH ORIGI MCHAWI WA MABAO YA USIKU KAMA KAWAIDA, SASA AFIKISHA LA NNE NA KOMBE JUU

0

LIVERPOOL imefuta machungu ya kukosa kombe la Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu uliopita mwaka 2017/18 ilipochapwa mabao 3-1 na Real Madrid baada ya jana kufanya hivyo mbele ya Tottenham Spurs kwa ushindi wa mabao 2-0 uwanja wa Wanda Metropolitano Jijini Madrid.Hii ni mara ya sita kwa Liverpool kutwaa ubingwa baada ya kuanza miaka ya 1977,1978,1981,1984 na 2005. Mabao yao yalifungwa na Mohamed Salah...

BEKI MWENYE MIAKA 32 TOKA IVORY COAST AHUSHISHWA KUMALIZANA NA SIMBA, WAKALA WAKE AFUNGUKA

0

Imeelezwa  kuwa beki wa kati anayekipiga katika klabu ya Es Metlaoui ya Tunisia, Ange Bares ameingia katika rada za kusajiliwa na Simba.Beki huyo mwenye umri wa miaka 32 na raia wa Ivor Coast ameingia kwenye rada hizo ikiwa ni moja ya mapendekezo ambayo Kocha Patrick Aussems aliyataka ya kuhitaji beki mmoja katika nafasi hiyo.Taarifa zinasema beki huyo aliwahi kuvichezea...

TIMU SAMATTA, KIBA HAPATOSHI LEO TAIFA

0

LEO Jumapili hutakiwi kukosa pale Uwanja wa Taifa kwani mastaa Mbwana Samatta na Ally Saleh Kiba na timu zao watakuwa wakionyesha umwamba katika mchezo maalum uliopewa jina la Nifuate huku kila upande ukitamba kuwa lazima ushinde.Mchezo huo ni maalumu, umeratibiwa na Samakiba Foundation kwa lengo la kuhakikisha wanarudisha shukrani zao kwa jamii yote hususani ile yenye mahitaji maalum na...

NIYONZIMA AVUNJA UKIMYA SIMBA

0

Kiungo machachari wa Simba, Mnyarwanda Haruna Niyonzima, amevunja ukimya kuwa mpaka sasa uongozi wa timu hiyo haujazungumza naye ishu yoyote ya kuongeza mkataba na kwamba hilo halimtishi kwani ana ofa kibao.Niyonzima alijiunga na Simba misimu miwili iliyopita akitokea Yanga, alianza kazi Msimbazi kwa kusuasua kutokana na majeraha kabla ya kuibuka hivi karibuni na kuonyesha kiwango kizuri.Kwa sasa mkataba wake...