KKUNGO HATARI MPYA YANGA AAHIDI KUMALIZA KAZI NA TSHISHIMBI

0

BAADA ya juzi kusaini mkataba wa miaka miwili ya kuichezea Yanga, kiungo mshambuliaji mpya Mnyarwanda, Issa Bigirimana ‘Walcott’ amemuulizia Ibrahim Ajibu akitaka kujua anabaki au anaondoka Jangwani.Bigirimana alisaini mkataba huo juzi baada ya kufi kia makubaliano mazuri na viongozi wa Yanga kabla ya kumpa mkataba huo akitokea APR ya Rwanda aliyokuwa anaichezea.Bigirimana alisema kuwa, anavutiwa na wachezaji wengi Yanga,...

MUONEKANO WA GAZETI LA SPOTI XTRA KATIKA UKURASA WA MBELE LEO JUMAPILI

0

MUONEKANO WA GAZETI LA SPOTI XTRA KATIKA UKURASA WA MBELE LEO JUMAPILI

ALIKIBA AUNGANA NA CHUMA ‘ MEDDIE KAGERE’ KUMMALIZA SAMATTA LEO, TAZAMA TIZI LAO – VIDEO

0

Msimu mpya wa 'Nifuate' ya msanii, Alikiba na mwanasoka, Mbwana Samatta imekuja kivingine huku wakitambiana kuelekea mchezo wao wa hisani, Juni 2 utakaochezwa Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam.Viingilio katika mchezo huo ni Sh.2000 kwa viti vya mzunguko, eneo maalumu yani vip B ni Sh.2000 huku maalumu zaidi 'Champion' ikiwa Sh. 5000.Nifuate ni kampeni maalumu imeanzishwa na mastaa...

HII SASA NI BALAA, YANGA YASAINI TISA WAPYA, SIMBA MNATOKAJE- VIDEO

0

Yanga imepania acheni utani jamani, hii ni kutokana na usajili wanaoendelea kuufanya na tayari wamekamilisha saini za wachezaji tisa kati hao sita kutoka nje ya nchi na wawili wazawa.Timu hiyo imemalizana na mastaa tisa ambao tayari wamesaini mikataba ya miaka miwili kila mmoja  na kati ya hao yupo kipa wa Bandari, Farouk Shikalo.

KICHUYA, FEI TOTO WATOA TAMKO ZITO JUU YA USIMBA NA UYANGA – VIDEO

0

Mshambuliaji na Kiungo wa Team Kiba Shiza Kichuya na Feisal Salum wamefunguka kuwa kwa kikosi chao kilivyo lazima wawafunge timu Samatta kutokana na ni timu nzuri na ina wachezaji wazuri na vijana.Kampeni ya Nifuate ni msimu wake wa pili kwa sasa ambapo maboresho yatakua makubwa hivyo Samatta na Ali kiba wamewataka mashabiki kujaa kwa wingi uwanjani.

UTATU MTAKATIFU SIMBA WAKOMBA MILIONI 300

0

Utatu hatari Simba, kipa Aishi Manula, Erasto Nyoni na Shomari Kapombe wametikisa kiberiti kwa kugoma kusaini mikataba mipya wakitaka wapewe mkwanja mrefu zaidi.Wachezaji hao walijiunga na Simba misimu miwili iliyopita wakitokea Azam FC na sasa mikataba yao imemalizika hivyo wapo kwenye mazungumzo ya kuongeza mingine.Simba chini ya mwekezaji wao bilionea, Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’ imetangaza kufuru ya usajili kwa...

Uwanja umeharibu fainali ya shirikisho

0

BAO la dakika ya 65′ la mchezo lililofungwa na mshambulizi raia wa Zambia, Obrey Chirwa limeipata taji la kwanza la kombe la FA klabu ya Azam FC baada ya kuilaza Lipuli FC goli 1-0 katika mchezo wa fainali Ilulu Stadium, Lindi jioni hii.Kabla ya fainali hiyo ya nne mfululizo kufanyika baada ya kurejeshwa msimu wa 2015/16, hofu...