SIMBA YAAHIDI KUCHUKUA MATAJI YOTE TANZANIA – VIDEO

0

Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara akizungumzia kuhusiana na suala la timu yao kuendelea kuchukua mataji ya Ligi Kuu Bara.

LUKAKU APATA TIMU MBADALA

0

INTER Milan imethibitisha kuwa ipo kwenye harakati za kumsajili straika wa Manchester United, Romelu Lukaku. Kocha wa Inter Milan, Antonio Conte anamtaka Lukaku ili kuongeza nguvu kwenye fowadi yake.Mkurugenzi wa Ufundi wa Inter Milan, Piero Ausilio alikwenda London juzi na kukutana na Makamu Mwenyekiti Mtendaji wa Manchester United, Ed Woodward.Conte anamtaka Lukaku ili azibe pengo la Mauro Icardi, ambaye...

MNAMIBIA WA YANGA KUMBANA NA MTIHANI MZITO

0

UONGOZI wa Yanga hivi karibuni umemkabidhi mshambuliaji wake raia wa Namibia, Sadney Urikhob jezi namba 17 ambayo ilikuwa ikivaliwa na Mrundi, Amissi Tambwe.Kutokana na rekodi mbambali ambazo Tambwe amefanikiwa kuziandika akiwa na kikosi cha Yanga huku akiwa amevalia jezi hiyo, unaweza kusema kuwa Sadney amepewa mtihani mzito wa uongozi huo kwani atahitajika kufanya mambo makubwa uwanjani kama yale ambayo...

FRED MINZIRO AKUNJA JAMVI NDANI YA SINGIDA UNITED

0

FRED Minziro aliyekuwa Kocha Mkuu wa Singida United amesema kuwa kwa sasa yupo huru kujiunga na timu yoyote baada ya kumaliza mkataba wake ndani ya Singida United. Minziro amesema kuwa mpaka sasa hajazungumza na mabosi wake wa Singida United juu ya kuboresha mkataba wake."Mimi nimemaliza kazi yangu ndani ya Singida United na mpaka sasa bado sijaitwa mezani kuzungumza nao...

MBAPPE AWEKEWA NGUMU KUSEPA PSG AAMBIWA LABDA ALAZIMISHE

0

KYLIAN Mbappe mshambuliaji wa PSG amewekewa ngumu na uongozi wa kikosi hicho kutimka ndani ya kikosi hicho kutokana na mkataba wake kumtaka aendelee kubaki ndani ya PSG.Mbappe anahusishwa kujiunga na Real Madrid na sababu ikielezwa kwamba anataka kuchezeshwa kama mshambuliaji wa kati ambapo kwa sasa anachezeshwa Edinson Cavan na yeye akichezeshwa kama winga.Habari kutoka ndani ya klabu hiyo zimeeleza...

ANTOINE GRIEZMANN AINGIA KWENYE REKODI YA WACHEZAJI GHALI

0

ANTOINE Griezmann amejiunga na Barcelona kwa kusaini kandarasi ya miaka mitano akitokea kikosi cha Atletico Madrid.Nyota huyo mwenye miaka 28 anayekipiga timu ya Taifa ya Ufaransa ambao ni mabingwa wa kombe la Dunia amesaini dili hilo ambalo limefikisha gharama ya milioni 800 Euro ikiwa ni gharama ya ada ya usajili wake.Atletico Madrid bado hawana furaha kumuacha mchezaji wao kujiunga...

MARIO BALOTELLI APATA DILI LA MAANA PARMA FC

0

MARIO Balotelli ambaye ni straika huenda akatua kwenye kikosi cha Parma baada ya kumalizana na kikosi cha Marseille.Mkurugenzi wa klabu hiyo, Daniele Faggiano ameweka wazi kwamba wanahitaji saini ya nyota huyo baada ya kukosa saini ya nyota wa Roma, Daniele De Rossi kutokana na kutaka mshahara mkubwa.Balotelli nyota wa zamani wa Manchester City na AC Milan mkataba wake umemalizika...