OKWI AAMUA KUIFUNGUKIA SIMBA
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi juzi jioni amewaaga rasmi wachezaji wenzake aliokuwa nao katika kikosi cha Simba msimu uliopita huku pia akiwaachia ujumbe mzito.Okwi ambaye msimu uliopita aliitumikia Simba kwa mafanikio makubwa na kuiwezesha kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara lakini pia kufika robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, msimu ujao hatakuwa tena na kikosi hicho.Okwi...
WAWILI YANGA WAMVUTA ZAHERA
Uwepo wa mastaa wapya wa Yanga kambini mkoani Morogoro wakiwemo Issa Bigirimana na Maybin Kalengo, umefanya kocha mkuu wa timu hiyo, Mwinyi Zahera fasta arudi nchini kwa ajili ya kuungana nao.Yanga wameanza kambi yako katika Chuo cha Biblia, Bigwa mkoani Morogoro ikiwa ni maandalizi ya kujiandaa na msimu ujao wa ligi.Kambi hiyo imekusanya wachezaji wote wakiwemo wale wapya ambao...
BEKI SIMBA ARUHUSU USAJILI WA KIRAKA YANGA
USAJILI wa beki wa pembeni, Gadiel Michael Simba umemnusuru kiraka rasta wa Yanga, Jaffari Mohammed kuendelea kubakia kuichezea timu hiyo.Kiungo huyo, awali hakuwepo kwenye orodha ya wachezaji iliyotolewa na Yanga ambao wamewasajili kwa ajili ya msimu mpya wa ligi utakaoanza Agosti 23, mwaka huu.Kiraka huyo aliondolewa katika usajili huo baada ya kupendekezwa kuachwa au kuondolewa kwa mkopo.Kwa mujibu wa...
HATMA YA AZAM FC KUTINGA ROBO FAINALI KAGAME MIKONONI MWA MUKURA FC
ETTIENE Ndayiragije, Kocha wa Azam FC amesema kuwa suluhu waliyoipata leo kweye michuano ya Kagame dhidi ya Bandari inawaweka kwenye wakati wa kusubiri hatma yao ya kutinga hatua ya robo fainali.Leo Azam FC walikuwa wanahitaji ushindi ili kujihakikishia nafasi ya kutinga robo fainali wameambulia suluhu ya kutofungana dhidi ya Bandari.Akizungumza na Saleh Jembe, Ndayiragije amesema kuwa ushindani ni mkubwa...
HOLDING WA ARSENAL MAJANGA, KUANZA AKIWA NJE MSIMU UJAO
ROB Holding beki wa Arsenal anatarajiwa kukosa mechi za mwanzoni mwa msimu ujao kutokana na kuendelea kuuguza jeraha lake la goti alilolipata Desemba mwaka jana.Holding msimu uliopita alikaa benchi kwa muda wa miezi mitano baada ya kuumia kwenye mchezo wao dhidi ya Manchester United pale Old Trafford.Nyota huyo mwenye miaka 23 kwenye mechi 16 ambazo alikuwa uwanjani Arsenal haikupoteza...
SIMBA YAKUBALI KUPIGWA FAINI YA USAJILI
Wakati usajili wa kimataifa ukifungwa rasmi Julai 10, mwaka huu, Klabu ya Simba imesema haina hofu, ipo tayari kutoa faini ili kuweza kukamilisha usajili wake kwa mchezaji mmoja wa kimataifa ambaye amesalia.Usajili wa kimataifa, ule wa awali mwisho ilikuwa ni Julai 10, mwaka huu lakini utaendelea mpaka Septemba ambapo ukisajili mchezaji unalipa na faini ya kuchelewa kufanya hivyo.Mpaka sasa...
YANGA, SIMBA KUKAMULIWA ‘MIDOLA’ NA TFF
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limezitaka timu zote zinazoshiriki Ligi Kuu Bara kukamilisha usajili Kwa njia ya mtandao (Tanfootball Connect) kabla ya usajili kufungwa kwani timu nyingi zimekuwa zikisuasua kukamilisha usajili wao kwa wakati. Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa TFF, Cliford Ndimbo amesema kuwa mpaka sasa hakuna timu ambayo imekamilisha kiukamilifu zoezi la usajili kwa mtandao."Timu nyingi zinazoshoriki...
SIMBA YAMPELEKA MCHEZAJI YANGA HOSPITALI
Uongozi wa Simba umesema kuwa, wachezaji wa timu hiyo walianza kutua nchini kuanzia juzi Jumatatu na wanatarajiwa kuingia kambini Julai 15 lakini wataanza kwanza kufanyiwa vipimo hospitalini.Simba ambayo inatarajiwa kwenda Afrika Kusini kuweka kambi hiyo kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao, mbali na kuwapima afya nyota wake wote, pia itawapa semina maalum na kupatiwa vifaa vyao.Mtendaji Mkuu wa...
SIMBA YAGOMBANIWA NA WASAUZI
IMEBAINIKA kuwa wakati Simba ikitarajiwa kuondoka kwenda Afrika Kusini kuweka kambi Jumatatu ijayo, klabu kibao za Sauz zimeomba kucheza mechi za kirafiki na Simba itakapokuwa huko.Msimu uliopita, Simba ilifanya vyema kwenye michuano ya kimataifa na hata kutinga hatua ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika, ndiyo maana timu nyingi zimevutika kujipima na Simba.Simba itaanza kambi yake huko Sauz...
KIPA MPYA YANGA AMTAJA YONDANI
Kipa mpya wa Yanga, Metacha Mnata, amefunguka kuwa anafurahi kupata nafasi ya kucheza timu moja na beki Kelvin Yondani kwa sababu ni mchezaji mkubwa na mwenye heshima hapa nchini na ilikuwa ni ndoto yake.Metacha amesajiliwa na Yanga hivi karibuni kuzipa pengo la kipa wa timu hiyo, Beno Kakolanya ambaye ametimkia katika kikosi cha Simba kwa ajili ya msimu ujao.Metacha...