MRITHI WA NDAYIRAGIJE NDANI YA KMC HUYU HAPA

0

IMEELEZWA kuwa kocha mpya wa KMC atakayerithi mikoba ya kocha Etiene Ndayiragije ambaye ametimkia Azam FC ni Jackson Mayanja.KMC kwa sasa wanatafuta Kocha Mkuu mwenye uzoefu na michuano ya kimataifa ambaye atakiongoza kikosi hicho ambacho kitashiriki michuano ya kombe la Shirikisho msimu huu.Habari za ndani zimeeleza kuwa kwa sasa kila kitu kimekamilika na muda wowote atatangazwa kuwa kocha wa...

BAADA YA SIKU 23, OKWI KUKINUKISHA SIMBA

0

HUKO ulipo weka kumbukumbu kabisa kwamba itakapofika Julai 19, straika wa Simba, Emmanuel Okwi ndiyo itakuwa siku ambayo ataanika juu ya mustakabali wake ndani ya kikosi hicho.Okwi amemaliza mkataba wake ndani ya Simba ambapo kwa sasa straika huyo amekuwa akichengachenga kusaini mkataba mpya ndani ya kikosi hicho.Mshambuliaji huyo ambaye kwa sasa yupo na timu ya taifa ya Uganda kwenye...

BALINYA AMTIKISA KAGERE BONGO

0

MSHAMBULIAJI mpya wa kikosi cha Yanga, Juma Balinya aliyesajiliwa na klabu hiyo kutoka Polisi ya Uganda, amefunguka kuwa moja ya malengo yake kwa msimu ujao ni kuhakikisha anarudia kitendo alichokifanya nchinikwao cha kuwa mfungaji bora.Balinya ni miongoni mwa nyota 10 wapya wa kikosi cha Yanga ambao wamesajiliwa kwa ajili ya msimu ujao.Mshambuliaji huyo msimu uliomalizika katika Ligi Kuu ya...

MNYARWANDA WA YANGA ATIMKIA ZAMBIA

0

KAMA Yanga hawatakaza uzi vizuri basi wapo mbioni kumkosa beki Mnyarwanda, Eric Rutanga ambaye wamekuwa wakimpigia hesabu kwa kiasi kikubwa kutokana na beki huyo kuwa njiani kutua Nkana FC ya Zambia.Rutanga ambaye anacheza nafasi ya beki wa kushoto, ni mmoja wa wachezaji ambao kocha wa Yanga, Mwinyi Zahera anayetaka asajiliwe na mabosi wa timu hiyo kwa msimu ujao.Rutanga anayeichezea...

Kiungo wa Simba amwaga wino Namungo fc

0

Kiungo mshambuliaji John Mbise amesajiliwa kwa mkataba wa miaka miwili kutumikia Wana wa Ruhangwa ya Lindi baada ya kuipandisha Ligi Kuu.John Mbisse aliepitia Simba kati ya mwaka 2014 na 2016 akiwa katika kikosi cha kina Mbaraka Yusuph, Idd Kipagwile, Issa Ngoa na Denis Richard.Baada ya kumwaga wino John Mbise alisema “Ni furaha kuendelea kubaki Namungo tena, ni...

KOTEI MWENYEWE AFUNGUKA JUU YA KWENDA YANGA

0

Kiungo mkabaji ambaye mkataba wake umemalizika na klabu ya Simba, Mgahana, James Kotei amesema haelewi juu ya hatma yake ndani ya kikosi hicho kutokana na kutopata mawasiliano na kiongozi yeyote wa Simba juu ya kuhitajika kwa msimu ujao.“Kwa sasa mimi nipo mapumziko tu huku nyumbani, ninacheza na watoto na familia yangu kiujumla sifahamu lolote juu ya usajili wangu.“Hadi sasa...

MANARA AIBUKA NA KALI NYINGINE JUU YA TAIFA STARS – VIDEO

0

Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, amefunguka machache kuelekea mechi ya Taifa Stars dhidi ya Kenya Juni 27,  2019.