WAARABU WA MSUVA WAMTAKA MUDATHIR

0

Klabu ya Difaa Al Jadid ya Morocco ambayo anaichezea Mtanzania, Simon Msuva ina mpango wa kumsajili kiungo wa Azam FC, Mudathir Yahaya.Kiungo huyo ni mmoja kati ya wachezaji ambao walipeperusha bendera ya Tanzania kwenye michuano ya Afcon ambayo Taifa Stars ilitolewa hatua ya awali kabisa.Hata hivyo, taarifa zilizopo ni kuwa, Waarabu hao wa Morocco wana mpango wa kutaka kumsajili...

SIMBA SC KAZI IMEANZA SASA

0

Hivyo ndivyo unavyoweza kusema, hali ya mambo ilivyo hivi sasa huko mitaani baada ya timu za Simba na Yanga kuwa mbioni kuhitimisha usajili wake.Hata hivyo, hivi sasa habari mpya ni kwamba kutokana na usajili ambao tayari timu hizo zimeufanya, kila shabiki wa timu hiyo akili yake inafikiria siku ambayo timu hizo zitakutana uwanjani mambo yatakuwaje. Timu hizo kila moja...

SABABU YA YANGA KUWEKA KAMBI MAPEMA MORO YATAJWA

0

UONGOZI wa Yanga umesema kuwa umeanza maandalizi ya Ligi mapema ili kuandaa kikosi kitakacholeta ushindani msimu ujao. Akizungumza na Saleh Jembe, Makamu Mwenyekiti wa Yanga, Fredrick Mwakalebela amesema kuwa kwa sasa wachezaji wameanza kambi mkoani Morogoro kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao."Wachezaji wa Yanga kwa sasa wameingia kambi ambayo inafanyika Morogoro na ni maalumu kwa ajili ya kuandaa...

MO SALAH NA SAMATTA KUWATAZAMA WABABE HAWA WALIOTINGA ROBO FAINALI

0

BAADA ya kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania kilicho chini ya nahodha Mbwana Samatta kufungasha virago kwenye michuano ya Afcon inayoendelea nchini Misri na wenyeji pia Misri wakiongozwa na mshambuliaji wao Mohamed Salah kufungashiwa virago watawatazama hawa hapa waliotinga hatua ya robo fainali:-Julai 10Benin v SenegalNigeria v Afrika KusiniJulai 11Algeria v Ivory CoastMadagascar v Tunisia

AZAM FC MZIGONI LEO KAGAME KUMENYANA NA KCCA

0

MABINGWA watetezi Azam FC leo watakuwa kazini kumenyana na KCCA kwenye michuano ya Kagame inayoendelea nchini Rwanda.Mchezo wa kwanza Azam FC walipata ushindi wa bao 1-0 mbele ya wapinzani wao Mukura FC bao lililopachikwa kimiani na Idd Seleman.Kocha wa Azam FC, Ettiene Ndayiragije amesema kuwa wanatambua ugumu wa mashindano kutokana na kikosi chake kushindwa kuwa na spidi kali."Mashindano sio...

KMC KUIKAZIA TP MAZEMBE

0

UONGOZI wa KMC umesema kuwa leo utapambana kupata matokeo chanya mbele ya TP Mazembe kwenye mchezo wa pili wa michuano ya Kagame.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa KMC, Anwar Binde amesema kuwa wamejipanga kwa ajili ya mchezo wa kupata matokeo."Mchezo wetu wa kwanza tulikubali sare haikuwa mpango wetu ila ni matokeo, leo tutapambana kufanya vema hivyo mashabiki wetu...

KIKOSI CHA NAMUNGO FC 2019-20

0

KIKOSI cha Namungo FCMakipaAdamu OsejaLucas ChembejaWalinziMizar KristomAlly KoroshoJukumu KibandaFaisal Mganga Hamisi Mgunya Paul NgalemaCarlos Protus ViungoHamisi Nyenye John MbiseDaniel Joram Ben Silvester Jamal Dulaz Steve Nzigamasabo Lukas Kikoti Selemani Bwenzi WashaambuliajiReliants Lusajo Abeid AthumaniJohn KelvinBigirimana Blaise Sina JeromeHashim ManyanyaKocha Mkuu: Thierry HitimanaMsaidizi: Okoko GodfreyKocha wa Makipa: Emmanuel Kingu

MTIBWA SUGAR: HATUNA PRESHA NA VURUGU ZA SIMBA NA YANGA

0

UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa hauna hofu na fujo za timu kubwa ambazo zinafanya usajili wa kutisha kwani wao wana kiwanda cha kutengeneza wachezaji.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru amesema kuwa wanatazama namna usajili unavyokwenda hawana presha."Sisi Mtibwa hatuna presha hata kidogo na usajili unaofanyika na timu zote, tunajiamini kutokana na uwekezaji ambao...

NDANDA, KAGERA SUGAR ZAIKOMALIA MWADUI FC

0

KLABU za Mwadui FC, Kagera Sugar na Ndanda FC zipo vitani kwa ajili ya kupata saini ya kiungo Abdallah Seseme.Kiungo huyo bado timu yake ya Mwadui inahitaji huduma yake hali inayofanya kuwe na mvutano mkubwa kuipata saini ya nyota huyo.Kocha wa Kagera Sugar, Mecky Maxime amesema kuwa mpango mkubwa wa kikosi chake ni kuboresha kikosi na kukifanya kiwe cha...