SIMBA KUKWEA PIA MPAKA SAUZI KUWEKA KAMBI

0

IMEELEZWA kuwa kambi ya timu ya Simba msimu huu itakuwa nchini Afrika Kusini kuanzia Julai 15.Mtendaji Mkuu wa Simba, Cresentius Magori amesema kuwa mpango wa kuweka kambi ni maalumu kwa ajili ya kukiaanda kikosi vema kwa ajili ya michuano ya kimataifa na Ligi Kuu Bara."Afrika Kusini tunakwenda kuweka kambi, kuanzia Jumatatu wachezaji wanatakiwa kufika kambini na wale wa nje...

MANCHESTER UNITED WAIWEKEA NGUMU INTER MILAN KWA LUKAKU

0

ROMELU Lukaku, staa wa Manchester United anawaniwa na klabu mbili kubwa ambazo zinahitaji kuipata saini yake kwa ajili ya msimu ujao.Juventus na Inter Milan zipo kwenye mapambano kuipata saini ya nyota huyo anayecheza nafasi ya ushambuliaji.United ipo tayari kumuuza Lukaku ila haipo tayari kumtoa kwa mkopo nyota wao huyo ambaye Inter Milan walikuwa wanamtaka kwa mkopo.

RATIBA YA KAGAME LEO, MAKOCHA WOTE KUTUPA KETE YAO YA KWANZA LEO

0

LEO wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya Kagame inayofanyika nchini Rwanda watakuwa kazini kupeperusha Bendera.KMC watakuwa wa kwanza kurusha kete yao leo majira ya saa 7:00 mchana watamenyana na Atlabara, huu pia ni mchezo wa kwanza kwa kocha mpya Jackson Mayanja.Azam FC ambao ni mabingwa watetezi watarusha kete yao  majira ya saa 9:00 alasiri watamenyana na Mukura, huu utakuwa...

BIASHARA UNITED KUANZA NA UONGOZI

0

UONGOZI wa Biashara United umesema kuwa kwa sasa unajipanga kufanya uchaguzi ili kupata viongzoi wapya ndani ya timu hiyo.Katibu wa Biashara United, Haji Mtete amesema kuwa hesabu kubwa kwa sasa ni kuona wanafanikisha lengo la kupata viongozi wapya watakaoongoza timu hiyo kwa muda wa miaka minne."Uchaguzi unatarajiwa kufanyika mwezi Agosti 7 mwaka huu kwa lengo la kupata viongozi wapya,...

USAJILI: MRITHI WA GADIEL MICHAEL YANGA MARCELO ASAINI MIAKA MITATU

0

Mlinzi wa kushoto, Muharami Issa Said amejiunga na kikosi cha Yanga kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Malindi fc ya Zanzibar.

NYOTA MWINGINE YANGA ACHOMOLEWA MAZIMA

0

PIUS Buswita mshambuliaji wa zamani wa kikosi cha Yanga ambaye amepigwa chini kwa sasa amewekwa kwenye rada za timu ya Kagera Sugar na Polisi Tanzania.Kagera Sugar chini ya kocha Mecky Maxime kwa sasa inaendelea kujisuka upya ambapo tayari imeanza kazi ya kusajili mashine kali kwa msimu ujao ikiwa ni pamoja na Awesu Awesu, Evarigitius Mujwahuki na imemuongezea mkataba beki...

GADIEL MICHAEL: NASAINI SIMBA JUMLA

0

IMEELEZWA kuwa beki wa Yanga, Gadiel Michael amemalizana na Simba kwa kandarasi ya miaka miwili kwa ajili ya kukitumikia kikosi hicho msimu ujao.Michael alipishana na Yanga kutokana na kumuwekea dau dogo jambo ambalo limemfanya aamue kujiunga na Simba ili kumfuata rafikiye wa karibu Ibrahim Ajibu.Chanzo cha kuaminika kimeeleza kwamba tayari Gadiel amemalizana na Simba hivyo anachosubiri kwa sasa ni...

BALINYA APEWA DAWA YA KUIMALIZA SIMBA HARAKA

0

Wakati uongozi wa Yanga ukiwa katika harakati zake za kukisuka upya kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao, mshambuliaji mpya wa timu hiyo, Juma Balinya amepewa dawa ya kuitandika Simba kila atakapokuwa akikutana nayo uwanjani.Balinya aliyesajiliwa na Yanga hivi karibuni akitokea Polisi FC ya nchini Uganda, dawa hiyo amepewa na aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, Mrundi Amissi Tambwe ambaye kwa...

MUONEKANO WA GAZETI LA SPOTI XTRA KATIKA UKURASA WA MBELE LEO JUMAPILI

0

MUONEKANO WA GAZETI LA SPOTI XTRA KATIKA UKURASA WA MBELE LEO JUMAPILI