NAMNA SAA SABA YA MCHANA SIMBA ITAKAVYOKUWA TAMU TENA LEO

0

Mabingwa wa Ligi kuu Bara kwa msimu huu Simba SC wanaendelea tena na ratiba yao ya kutangaza wachezaji wapya.Simba imejiwekea ratiba ya kila ifikapo saa saba itatangaza wachezaji wapya iliowasajili kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.Kupitia ukurasa wao wa Instagram, Simba wameandika juu ya namna saa saba navyosubiriwa leo huku wakiposti picha ya Zana Coulibaly.

STARS YAPIGWA 2-0 AFCON NA SENEGAL

0

Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania kimepoteza mchezo wa kwanza wa Kombe la Mataifa ya Afrika kwa kufungwa mabao 2-0 na Senegal.Stars imepoteza mchezo wake ikiwa ni mara ya kwanza inashiriki mashindano hayo baada ya miaka 39 kupita.Mabao ya Senegal yamewekwa kimiani na Keita Balde mnamo dakika ya 28 na Krepin Diatta katika dakika ya 64.Ushindi huo wa...

VIKOSI VYA TANZANIA NA SENEGAL HIVI HAPA

0

Vikosi vya Taifa Stars na Senegal vitakavyocheza katika mchezo wa Kombe la Mataifa ya Afrika

JE SAMSUNG NA OPPO WATAWEZA KUJIBU MASHAMBULIZI HAYA YA Infinix NOTE 12 VIP KIRAHISI…?

0

Leo tuangazie simu mpya na bora ya Infinix NOTE 12 VIP, na mwishowe tutajua ni kwanini ununue Infinix NOTE 12 VIP badala ya simu za makampuni mengine kama Samsung A53 au Oppo Reno 7 kwa kuangalia sifa za ndani na njee pamoja na bei za simu hizi CAMERATukianza na camera simu ya Infinix NOTE 12 VIP ina camera yenye MP...

Ni 5-3-2 pekee itakayo ‘inusuru’ Stars na ‘dhoruba’ la Senegal

0

Timu YA SOKA YA Taifa Ya Tanzania ‘Taifa Stars’ inataraji kucheza mchezo wake wa kwanza wa hatua ya makundi katika fainali za kombe la Mataifa ya Afrika dhidi ya Senegal ‘Simba wa Teranga’ katika dimba la Juni 30 huko nchini Misri huku nyuma kukiwa na madai ya uwepo wa mgomo wa wachezaji jana Jumamosi wakishinikiza kulipwa stahiki...

MSUVA ATUMA UJUMBE SENEGAL

0

MSHAMBULIAJI nguli wa Taifa Stars, Simon Msuva amewataka Watanzania wote kutokuwa na wasiwasi na mchezo wa leo wa Afcon dhidi ya Senegal kwani wamejipanga vilivyo.Taifa Stars leo saa 2 usiku itashuka uwanjani kupambana na Senegal katika mchezo wake wa kwanza katika fainali hizo utakaochezwa kwenye Uwanja wa 30 June huko nchini Misri.Msuva ambaye ni winga za zamani wa Yanga...

KIFO CHA BIBI HARUSI ALIYEKUFA AKIENDA SEND OFF DAR BWANA HARUSI ATAK A KUJIUA

0

MSIBA wa bibi harusi, Diana Jackson aliyefariki dunia kwa ajali wakati akienda kwenye ‘Send Off’ yake Dar es Salaam, umemvuruga mchumba wake hadi kutaka kujiua.  Habari kutoka chanzo chetu zinasema kuwa Elisante Edward ambaye alikuwa mume mtarajiwa wa Diana, alishindwa kuipokea taarifa ya kifo cha mtarajiwa wake na kujikuta akipoteza fahamu.HABARI KAMILI“Baada ya ile ajali (iliyotokea Jumatano wiki hii...

BAADA YA KUZINGUA, SABABU ZA CHIRWA KURUDISHA MAJESHI AZAM FC HIZI HAPA…

0

Mzambia Obrey Chirwa alitikisa kiberiti kwa kugoma kusaini mkataba mpya na Azam FC sasa mabosi hao juzi waliweka kwenye listi jina lake kati ya wachezaji nane ambao hawatokuwa nao msimu ujao, kuona hivyo jamaa akajiwahi na jana kasaini mkataba wa mwaka mmoja.Azam ipo kwenye maandalizi makali ya Kombe la Kagame litakaloanza Julai mwaka huu, pia itashiriki Kombe la Shirikisho...