Trending Stories
View All
SIMBA YATAJA SABABU YA KUTWAA UBINGWA WA LIGI KUU BARA
HASSAN Dilunga, kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa sababu kubwa itakayoipa Simba ubingwa ni jitihada za wachezaji kwenye mechi zao…
KUMBE! MKWANJA NDIO ULIOMTOA NDUKI MOROCCO MBAO
UONGOZI wa Mbao FC umesema kuwa kilichomuondoa ndani ya timu hiyo aliyekuwa Kocha Mkuu Hemed Morocco ni ukosefu wa fedha…
KOCHA KMC AWAVAA WACHEZAJI WAKE KWA MTINDO HUU
HARUNA Harerimana, Kocha Mkuu wa KMC amesema kuwa wachezaji wake wamekuwa wakisahau maelekezo wanayopewa wanapoingia uwanjani jambo linalomfanya ashindwe kupata…
MEDDIE KAGERE AMTAJA ANAYEMUONGOZA KATIKA NJIA ZAKE
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba amesema kuwa kwenye kila jambo ambalo analifanya haachi kumuomba Mungu ili amuongoze kwani yeye ndiye…
CHEKI MOTO WA KIKOSI BORA CHA WIKI CHA SIMBA NA YANGA
CHEKI namna mchambuzi na mwandishi wa michezo Saleh Jembe alivyokuja na kikosi bora cha wiki cha Simba na Yanga namna…
AZAM WATINGA KWA MKUU WA MKOA WA LINDI
Timu ya Azam FC leo Februari 19, imekwenda kujitambulisha kwa Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mh. Godfrey Zambi.Msafara wa Azam…
MCHEZO MZIMA WA SIMBA NA KAGERA SUGAR ULIKUWA NAMNA HII
SIMBA jana uwanja wa Taifa walitoa burudani mbele ya mashabiki wake licha ya kushinda bao 1-0 mbele ya Kagera Sugar.…
PRISONS DAKIKA 990 YAKUSANYA POINTI 11, SIMBA,YANGA, AZAM WANAUJUA MOTO WAO
TANZANIA Prisons iliyo chini ya Adolf Rishard ni balaa kwa upande wa kulazimhsa sare ndani ya Ligi Kuu Bara msimu…
HII HAPA RATIBA YA MECHI ZA YANGA
BAADA ya jana kulaizmisha sare ya kufungana bao 1-1 mbele ya Polisi Tanzania, mambo bado ni moto ndani ya yanga…
SAUL APELEKA MSIBA LIVERPOOL, KLOPP AWAKARIBISHA ANFIELD
SAUL Niquez nyota wa Atletico Madrid alipachika bao pekee la ushindi mbele ya Liverpool dakika ya nne kwenye hatua ya…
HIVI NDIVYO YANGA ILIVYOBANANA NA POLISI TANZANIA USHIRIKA MOSHI JANA
YANGA Jana ikiwa ugenini mbele ya Polisi Tanzania ilikubali sare ya kufungana bao 1-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara…
KAGERE ATAJA KINACHOMBEBA NDANI YA SIMBA
MEDDIE Kagere amesema kuwa kikubwa kinachompa nafasi ya kuendelea kufunga ndani ya kikosi chake cha Simba ni ushirikiano ambao anaupata…
HUYU MWAMBA CIRO NI BALAA NDANI YA SERIA A
CIRO Immobile anayekipiga ndani ya Serie A, Ligi Kuu ya Italia amefunga jumla ya mabao 26 ndani akiwa ni kinara…
SABABU ILIYOWAPONZA WACHEZAJI WA YANGA KUSHINDWA KULINDA USHINDI KWA POLISI TANZANIA
NAHODHA wa Yanga, Papy Tshishimbi amesema kuwa kilichowaponza kushindwa kupata ushindi mbele ya Polisi Tanzania Uwanja wa Ushirika ni ubovu…
KOCHA YANGA:MOLINGA ATAFUNGA MABAO MENGI
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa anaimani mshambuliaji wake David Molinga atafunga mabao mengi kwenye ligi. Molinga ni…
AZAM FC YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA NDANDA
AZAM FC leo ina kibarua cha kumenyana na Ndanda FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Nangwanda…