Trending Stories
View All
MUZIKI WA KOCHA BORA, MCHEZAJI BORA NI MOTO JANUARI, CHEKI WANAVYOKIMBIZANA
JANUARI wengi wanapenda kuuita mwezi dume kutokana na kuwa na majalada mengi ambayo yamechanganywa sehemu moja ila ghafla tu umemeguka…
MORRISON ATAJWA KUWA TISHIO ZAIDI YANGA, KOCHA AANIKA SABABU
Luc Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga raia wa Ubelgiji, amesema kuwa mchezaji wake Bernard Morrison atafunga mabao mengi kwenye ardhi…
VITA YA MANARA NA JERRY MURO YAREJEA TENA
Ile vita ya maneno iliyokuwa ikivuma miaka takribani mine iliyopita kati ya Ofisa Habari wa Simba, Haji Manara na Aliyekuwa…
BOSI MPYA BODI YA LIGI AJA NA AGIZO ZITO
UONGOZI wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) umemtangaza Almas Kasongo kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu mpya wa Bodi ya…
WAAMUZI WAJITOA LIGI KUU BARA
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limepokea maombi ya waamuzi saba wanaotaka kutopangwa kuchezesha baadhi ya mechi za Ligi Kuu Bara…
UNITED WAONGEZEWA MZIGO KUINASA SAINI YA NAHODHA WA MBWANA SAMATTA
MANCHESTER United imeonyesha nia ya dhati ya kuipata saini ya nyota wa Aston Villa, Jack Grealish ili kuongeza nguvu dani…
KUTANA NA BILIONEA WA MISRI BOSI WA SAMATTA, ANAYEIMILIKI ASTON VILLA
Na Saleh Ally MTANZANIA Mbwana Samatta amefanikiwa kucheza mechi mbili tu katika kikosi cha Aston Villa ya England lakini tayari…
POCHETTINO KUIBUKIA MANCHESTER UNITED IWAPO SOLSKJAER ATASHINDWA KUIFIKISHA HAPA
MAURICIO Pochettino, aliyekuwa Kocha Mkuu wa Spurs anahusishwa kujiunga na Manchester United.United iliyo chini ya Ole Gunnar Solskjaer imekuwa na…
YANGA: MBINU ZA EYMAEL ZIMEJIBU, MASHABIKI WANASTAHILI PONGEZI
JUMA Abdul, nahodha msaidizi wa Yanga amesema kuwa kazi ndo inaanza kwa Yanga baada ya mbinu za Kocha Mkuu, Luc…
MMASAI WA YANGA, TUMEMTEKENYA MASAU BWIRE – VIDEO
SAMATTA ATAKA MABAO 14 VILLA
MSHAMBULIAJI mpya wa aston Villa, Mtanzania, Mbwana Samatta amepanga kufunga katika kila mchezo wa Ligi Kuu England ‘Premier League’ kwa…
HARMONIZE AKUSANYA KIJIJI MWANZA, AVUNJA REKODI – VIDEO
AZAM FC YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA POLISI TANZANIA
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa wanahitaji pointi tatu za Polisi Tanzania kwenye mchezo utakaochezwa Jumanne, Februari 11,2020, Uwanja wa…
BECKER WA LIVERPOOL AGOMEA KULA BATA, KAZI KAMA KAWA
ALISSON Becker raia wa Brazil mlinda nyavu za Liverpool amegomea kula bata wakati wa mapumziko na badala yake anaendelea kufanya…
SIMBA YENYE MAUMIVU YAIFUATA MTIBWA SUGAR YENYE HASIRA
Verified MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Simba leo wameanza safari kuelekea Morogoro kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu…