Trending Stories
View All
JEMBE JIPYA YANGA LANIKA AHADI KUBWA BAADA YA KUTUA BONGO
Mshambuliaji raia wa Ghana Bernard Morrison, rasmi juzi alitua kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wa…
MOURINHO AMUAGA MMOJA TOTTENHAM
KOCHA wa Tottenham Hotspur, Jose Mourinho, amesema kuwa kiungo wake, Christian Eriksen aondoke akiwa nafuraha. Mara kwa mara kiungo huyo…
KOCHA YANGA AGEUKA MBOGO KWA WACHEZAJI
Kocha wa Yanga, Luc Eymael amewacharukiwa wachezaji wa kikosi hicho baada ya kushindwa kutumia nafasi walizotengeneza kupata mabao ya haraka…
YANGA YACHANA MKEKA TENA UWANJA WA TAIFA, YAPIGWA BAO 1-0
LUCY Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga leo ameiongoza timu yake kupoteza kwenye mechi yake ya pili kwa kufungwa bao 1-0…
LIGI KUU BARA: AZAM FC 1-0 YANGA
Dakika ya 60 Chirwa anachezewa rafuDakika ya 56 Ditram Nchimbi anaingia kuchukua nafasi ya Patrick SibomanaDakika ya 54 Mahundi anapeleka…
KIKOSI CHA AZAM FC DHIDI YA YANGA
Kikosi cha Azam FC dhidi ya Yanga 1.Razak Abalora 2.Nikolas Wadada 3.Bruce Kangwa 4.Daniel Amoah 5.Oscar Masai 6.Braison Raphael 7.Joseph…
KIKOSI CHA YANGA DHIDI YA AZAM FC
Kikosi cha Yanga dhidi ya Azam FC 1.Farouk Shikalo 2.Juma Abdul 3.Jaffary Mohamed 4.Lamine Moro 5.Ally Mtoni Sonso 6.Papy Tshishimbi…
MATOKEO YA MECHI ZA NYUMA ZA AZAM FC NA YANGA ZIPO HIVI, TUJIKUMBUSHE
IKIWA leo Azam FC itamenyana na Yanga matokeo yao yapo namna hii kwenye mechi zao zilizopita:-2010/11, Yanga 2-1 Azam, Azam…
KINACHOIBEBA COASTAL UNION CHATAJWA
KOCHA Mkuu wa Coastal Union, Juma Mgunda amesema kuwa kinachoibeba timu yake kupata matokeo chanya ni kujituma kwa wachezaji wake…
HUU NDIO ‘UGONJWA’ WA BEKI KISIKI WA SIMBA
BEKI kisiki ndani ya kikosi cha Simba, Pascal Wawa raia wa Ivory Coast amesema kuwa ‘ugonjwa’ wake mkubwa kwenye chakula…
HIZI HAPA DAKIKA 450 ZA MOTO KWA MBELGIJI WA YANGA, RATIBA YAKE BALAA, BANDIKA BANDUA
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga raia wa Ubelgiji ana kibarua kizito cha kuzimega dakika 450 ambazo ni za moto…
HUYU HAPA NYOT WA AZAM FC AMEPEWA JUKUMU LA KUIMALIZA YANGA LEO
NICHOLAUS Wadada, beki kisiki wa Azam FC leo amepewa kazi moja ya kuigoza safu ya ushambuliaji inayoongozwa na Obrey Chirwa…
TAARIFA KUBWA YA USAJILI KUTOKA YANGA
Listi kamili ya Wachezaji wa Yanga waliosajiliwa, kutolewa kwa mkopo na kuachwa katika dirisha dogo la Usajili mwezi Januari 2020.
USHINDI WA MBAO WAMPA KIBURI SVEN, AZITOLEA MACHO POINTI TATU ZA ALLIANCE
SVEN Vanderbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa ushindi mbele ya Mbao FC umewapa nguvu wachezaji wake kupambana kwenye mechi…
AZAM FC YAZIPIGIA HESABU POINTI TATU ZA YANGA LEO TAIFA
ARSTICA Cioaba, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa leo ataingia uwanjani kwa tahadhari mbele ya Yanga na hesabu zake…
YOUNG AIPA MKONO WA KWAHERI UNITED, SASA NI MWANA INTER MILAN
ALIYEKUWA nahodha wa Manchester United, Ashley Young amekamilisha dili lake la kujiunga na klabu ya Inter Milan. Beki huyo mwenye…