Trending Stories
View All
ELLIE MPANZU AONGEZA MZUKA SIMBA…ASAINI MITATU
WINGA raia wa DR Congo Ellie Mpanzu rasmi amemalizana na Simba kwa kusaini dili la miaka mitatu kuitumikia timu hiyo…
MASKINI SHEVA HKO NDIPO ALIPO SASA
KOCHA Mkuu wa Mbuni, Leonard Budeba amesema, licha ya kikosi hicho kufanya usajili bora kwa msimu huu ila moja ya…
DUKE ABUYA APATA MZUKA NA BAO LAKE LA CAF
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Mkenya Duke Abuya juzi usiku alitokea benchi kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar kisha kufunga bao…
KICHUYA AWATAJA BALUA NA CHASAMBI SIMBA
WINGA wa JKT Tanzania, Shiza Kichuya amesema zama alizokuwa nazo za ubora kwa sasa zimeisha na anawaona Ladack Chasambi na…
HII NDIO SIMBA TUNAYOITAKA…WAARABU WAKUBALI MZIKI WA MNYAMA
Hii ndio Simba tunayoitaka. Ndivyo baadhi ya kauli za mashabiki waliojazana kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, wakati Simba ikiing’oa Al…
LALIGA, EPL, BUNDESLIGA, SERIE A ZOTE KUKUPA PESA LEO…
Kamata mshiko wako haraka sana siku ya leo ukibashiri na Meridianbet. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya 1000 yapo hapa.…
FEISAL…DUBE NI MCHEZAJI MZURI…AWATULIZA YANGA
Kiungo mshambuliaji wa zamani wa Yanga na sasa Azam FC, Feisal Salum ‘Fei Toto’ ameibuka na kumkingia kifua nyota huyo.…
MIGUEL GAMONDI ATUMA SALAMU SIMBA NA AZAM…ANZA NA KENGOLD
WAANCHI Yanga usiku wa jana ilikuwa visiwani Zanzibar kumalizana na CBE SA ya Ethiopia katika mechi ya marudiano ya raundi…
FADLU AAPA KUWAMALIZA WALIBYA…MASHABIKI WAONYWA
Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema kwa mchezo wa leo hawana kitu kingine cha kufanya zaidi ya kushinda na…
GAMONDI ACHIMBA MKWARA…YANGA YAVUNA MABILIONI
KLABU ya Yanga imejihakikishia Sh30 milioni kutoka kwa Rais Samia Suluhu Hassan kupitia za ‘Bao la Mama’, pia baada ya…
MNYAMA NA KARATA YA MWISHO LEO KIMATAIFA…AL AHLI WAINGIA UBARIDI
Mnyama Simba anatupa karata muhimu leo akihitaji ushindi wa aina yoyote dhidi ya Al Ahli Tripoli ili itinge hatua ya…
YANGA YATINGA MAKUNDI CAF KWA REKODI YA KIBABE…CHAMA ANAKIMBIZA TU
HISTORIA imeandikwa tena Kibabe usiku wa jana Yanga ikitinga hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa mara ya…
AZAM FC WAIPELEKA SIMBA ZENJI
MCHEZO wa Ligi Kuu Bara kati ya wenyeji Azam FC dhidi ya Simba uliopangwa kufanyika Septemba 26, mwaka huu kwenye…
MERIDIANBET YAIGUSA MBEZI LEO….
Mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet leo wamefika eneo la Mbezi jijini Dar-es-salaam mtaa wa Muafaka na kutoa…
ALI KAMWE…HATUJAZOEA GOLI MOJA…TUNA TIMU BORA
YANGA inashuka dimbani leo kucheza mchezo wa raundi ya pili kufuzu hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya…
KAULI YA AHMED ALLY YATHIBITISHA USAJILI WA MPANZU
Winga wa zamani wa AS Vita Club Ellie Mpanzu yuko nchini kukamilisha taratibu za usajili wake na Simba, imefahamika. Meneja…