HUYU HAPA NDIYE MOZIZI ANAYETAJWA KUTUA KLABU ZA BONGO KUTOKA CONGO

0
MPIANA Mozizi anakipiga ndani ya Klabu ya FC Lupopo inayoshiriki Ligi Kuu nchini Congo.Timu yake ipo nafasi ya 11 ikiwa imecheza mechi 22 kibindoni...

HIZI PACHA TATU NI BALAA ZILIKUWA ZIMEWAKA KWA KUCHEKA NA NYAVU

0
LIGI Kuu Bara ikiwa imesimama kupisha maambukizi ya Virusi vya Corona kuna pacha ambazo zilikuwa ni matata uwanjani kwa kucheka na nyavu.Vinara kwenye pacha...

MKWANJA WANAOPOKEA SIMBA KUTOKA KWA MO UPO HIVI

0
OFISA Habari wa Simba, Haji Sunday Manara amesema kuwa Simba inaingiza fedha zaidi ya Sh milioni 130 kila mwezi kama gawiwo kutoka kwenye fedha ya...

LAUTARO MARTINEZ AZIVURUGA KLABU ZA ENGLAND, LA LIGA

0
MACHESTER City inayoshiriki Ligi Kuu England iliyo chini ya Kocha Mkuu, Pep Guardiola ipo tayari kuinasa saini ya nyota anayekipiga ndani ya Inter Milan,...

JONAS MKUDE HATAKI MCHEZO NDANI YA SIMBA

0
JONAS Mkude, kiungo wa Simba amesema kuwa kwa sasa anajifua vilivyo ili kulinda kipaji chake alichonacho.Kwa sasa Ligi Kuu Bara imesimama kupisha maambukizi ya...

MKUDE – KWA SASA SITAKI UJINGA UJINGA..!!

0
BAADA ya mashabiki wa Simba kumpigia kelele kiungo mkabaji wa timu hiyo, Jonas Mkude kuwa ni tatizo katika kikosi chao kutokana na utovu wa...

BONGO WACHEZAJI WENGI NI WAJANJAJANJA ILA KWA HILI WATAKUWA WANAJIPOTEZA WENYEWE

0
 HAKUNA anayejua kwa sasa Ligi Kuu Tanzania Bara itarejea lini kwa msimu huu wa 2019/20 kutokana na kusambaa kwa Virusi vya Corona.Hii inatoa nafasi...

AZAM FC DARASA KWA WENGINE NDANI YA ARDHI YA BONGO

0
AZAM FC ni miongoni mwa timu ambazo zinazidi kufukuzia mafanikio ambayo zinayafikiria kila siku iitwapo leo jambo ambalo linazidi kufungua njia kwa wengi kujifunza...

KUHUSU MOLINGA KUTAKIWA NA WAARABU..LUC EYMAEL AMEFUNGUKA HIVI..!!

0
NAELEZWA kuwa Klabu ya ES Setif inayoshiriki Ligi Kuu ya Algeria imeweka ofa mezani kwa ajili ya kumnasa mshambuliaji wa Yanga, Mkongomani, David Molinga...

GSM WAZIDI KUSHUSHA NEEMA YANGA..WASAINI MKATABA MPYA UTAKAOWAPA YANGA MABILIONI

0
YANGAkumenoga! Hivyo ndivyo utakavyoweza kusema baada ya timu hiyo kuingia makubaliano mengine na mdhamini wake Kampuni ya GSM ya kusaini mkataba mpya mwingine kwa...