YANGA: WACHEZAJI WANAFANYA KAZI WALIYOPEWA, TUKIRUDI TUTAKUWA VIZURI

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa wachezaji wao wote wamekuwa wakionyesha juhudi za kufanya mazoezi wakati huu wa mapumziko jambo ambalo linapaswa liwe na mwendelezo...

SAGNA: ARSENAL ITAFANYA MAKOSA KUMUUZA AUBAMEYANG

0
BEKI wa zamani wa kikosi cha Arsenal, Bacary Sagna amesema kuwa klabu hiyo itafanya makosa makubwa iwapo itamuuza nahodha wao, Pierre-Emerick Aubameyang.Nahodha wa Arsenal...

KIBAYA: MUHIMU KUFANYA DUA NA KULINDA KIPAJI

0
JAFFARY Kibaya nyota anayekipiga ndani ya Mtibwa Sugar amesema kuwa wakati huu wa Virusi vya Corona ni muhimu kwa wachezaji kulinda viwango vyao na...

WOJCIECH MLINDA MLANGO WA JUVENTUS AWEKWA SOKONI

0
WOJCIECH Szczesny mlinda mlango wa Juventus amewekwa sokoni ili kutunisha mfuko wa mabosi wa Juventus. Mkataba wa nyota huyo ndani ya Juventus unameguka mwaka 2024...

ZUBER KATWILA: WACHEZAJI NIMEWAPA PROGRAM MAALUM

0
ZUBER Katwila, Kocha Mkuu wa Mtibwa Sugar amesema kuwa wachezaji wamepewa kazi kubwa ya kuwa mabalozi kwenye familia zao na kujilinda na Virusi vya...

MO RASHID SASA DOZI YAKE NI KUTWA MARA MBILI

0
MOHAMED Rashid,'Mo Rashid' nyota anayekipiga ndani ya JKT Tanzania kwa mkopo akitokea Klabu ya Simba amesema kuwa kwa sasa anapiga dozi ya mazoezi mara...

NIYONZIMA AWAPA SOMO HILI WACHEZAJI

0
HARUNA Niyozima, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa ni busara kwa wachezaji kufanya mazoezi wakati huu wa mapumziko na kujilinda dhidi ya Virusi vya...

NONDO WA COASTAL UNION AWAKUBALI MABEKI HAWA BONGO

0
BEKI chipukizi wa Coastal Union, Bakari Nondo amesema kuwa amekuwa akivutiwa na uwezo wa wazawa wanaokipiga ndani ya Simba na Yanga kutokana na uwezo...

MCHEKA NYAVU WA MBAO FC AWAOMBA WATANZANIA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA CORONA

0
WAZIRI Jr mshambuliaji anayekipiga ndani ya Mbao FC amesema kuwa kwa sasa anajifua ili kulinda kipaji chake pamoja na kuchukua tahadhari ya Virusi vya...

YANGA YATUMA UJUMBE HUU KWA PAPY TSHISHIMBI

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa umemtumia salamu za kumtakia maisha marefu nahodha wao Papy Tshishimbi ambaye leo anatimiza miaka kadhaa.Akizungumza na Saleh Jembe, Ofisa...