TUJIFUNZE NAMNA MADINI YA AJIBU YALIVYOMALIZIKIA BENCHI…

0
Na Saleh AllyHAKUNA anayelalamika kuhusiana na kiwango cha mshambuliaji Ibrahim Ajibu Migomba kupitia kipaji, badala yake ni neno moja na tunapaswa kujifunza kupitia kwake.Inawezekana...

ATLETICO MADRID, MANCHESTER UNITED ZAINGIA ANGA ZA BARCELONA

0
KLABU ya Barcelona ipo kwenye mpango wa kumuuza kiungo wao Ivan Rakitic kwa dau la pauni milioni 17 msimu huu huku Atletio Madrid ikiwa...

CHOMOKA NA GARI YAZIDI KUNOGA

0
MAMBO ni yente kila kona ya nchi kwa lugha ya vijana wa kisasa kufuatia kushika kasi kwa promosheni namba moja kwa sasa Tanzania, nazungumzia...

KAGERE: WANANIITA MZEE ILA NINAWAFUNGA

0
MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba amesema kuwa wanaomuita mzee hawashangai kwani wanampa nguvu ya kupambana kufunga akiwa uwanjani.Kagere kabla ya Ligi Kuu Bara kusimamishwa...

RONALDINHO AMTAJA ANAYEMKUBALI KATI YA MESSI NA CR 7

0
RONALDINHO de Assis Moreira nyota wa zamani wa timu ya Brazil anaamini kuwa kati ya Cr 7 na Messi bora Messi.Nyota huyo alikuwa na mchango...

SABABU YA MNATA KUTUA YANGA HII HAPA

0
METACHA Mnata, mlinda mlango namba mbili wa Yanga amesema kuwa sababu kubwa iliyomfanya ajiunge ndani ya Yanga ni ushindani wa namba uliokuwa ndani ya...

BEKI TANZANIA PRISONS: TUNAKOSA UHURU KWA SASA

0
NYOTA wa timu ya Tanzania Prisons, Salum Kimenya amesema kuwa kwa sasa wanapitia kipindi kigumu kutokana na kutopata uhuru wa kufanya mazoezi kama ilivyokuwa...

KOCHA YANGA : WACHEZAJI WALIKUWA WAMEINGIA KWENYE MFUMO

0
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa hesabu zake ni kuona timu yake inamaliza ikiwa nafasi ya pili jambo ambalo anaamini linaweza kufanikiwa...

KOCHA MKUU WA SIMBA ATAJA KITAKACHOMREJESHA MLIPILI KIKOSI CHA KWANZA

0
SVEN Vandenbroeck, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa beki wa Simba Yusuph Mlipili anatakiwa kuongeza juhudi ili kupata nafasi ya kuanza kwenye kikosi cha...

MUONEKANO WA UKURASA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI

0
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumamosi, nafasi ya kushinda ndinga ni yako