SUALA LA TSHISHIMBI KUIBUKIA SIMBA, YANGA YATOA TAMKO

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa suala la mchezaji wao Papy Tshishimbi kusepa ndani ya timu hiyo muda utaongea na atafurahia maisha akiwa ndani ya...

WACHEZAJI SIMBA WAINGIA ANGA ZA MBELGIJI

0
WACHEZAJI wa Simba wamejikuta wakiingia ndani ya mtego wa kocha mkuu wa timu hiyo, Mbelgiji, Sven Vandenbroeck, katika kipindi hiki ambacho Ligi Kuu Bara...

MORRISON ASIMULIA NAMNA ALIVYOFUATWA NA SIMBA KABLA YA MCHEZO WAO MACHI 8

0
MSHAMBULIAJI nyota wa Yanga, Bernard Morrison amekiri mwenyewe kwa mara ya kwanza kwamba kulikuwa na mazungumzo kwa ajili ya kujiunga na Simba.Morrison ameliambia Gazeti...

ISHU YA MAKAME KUIKANA YANGA IPO HIVI

0
ABDULAZIZ Makame kiungo wa Yanga inaelezwa kuwa amekana kwamba yeye sio mchezaji wa Yanga bali ni wa Majimaji kutokana na sauti inayosambaa kwenye mitandao...

SAFARI YA MWISHO YA ALIYEKUWA OFIA HABARI WA SIMBA ASHA MUHAJI IMEHITIMISHWA LEO

0
VerifiedSAFARI ya mwisho ya aliyewahi kuwa Ofisa Habari wa Simba Asha Muhaji ambaye alikuwa mwandishi mwandamizi imehitimishwa leo kwenye makaburi ya Mwinyi Mkuu yaliyopo...

AKILI ZA HARUNA NIYONZIMA NDANI YA CHAMPIONI IJUMAA

0
KESHO ndani ya CHAMPIONI Ijumaa ni kiungo mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima ameanza kuandika makala yake mwenyewe pamoja na ishu nyingine zote muhimu. Pia ukipata...

NYOTA WA CHELSEA APEWA RUHUSA KUIONA FAMILIA YAKE

0
TIMU ya Chelsea imekubali kumpa ruhusa nyota wake Willian Borges Da Silva kurejea kuiona familia yake.Winga huyo raia wa Brazil aliomba ruhusa ya kurejea...

KANE:NIPO FITI NITAREJEA UWANJANI HIVI KARIBUNI

0
HARRY Kane amesema kuwa anaamini yupo fiti kwa sasa kurejea uwanjani iwapo Ligi Kuu England itarejea.Kane anayekipiga Klabu ya Tottenham alikuwa nje Kwa muda...

NCHIMBI NYOTA WA YANGA ASEPA DAR MAZIMA NA KUIBUKIA KIJIJINI KUENDELEA NA MAISHA

0
DITRAM Nchimbi, mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa kutokana na kuchukua tahadhari ya Virusi vya Corona ameamua kusepa ndani ya Dar es Salaam na kuibukia...

ALIYEKUWA KOCHA WA SIMBA, JAKSON MAYANJA AWAPA MAJUKUMU WACHEZAJI WAKE

0
JAKSON Mayanja, aliyekuwa Kocha Mkuu wa KMC, Kagera Sugar, Coastal Union na Simba amesema kuwa kutokaana na kusambaa kwa Virusi vya Corona amewataka wachezaji...