JKT TANZANIA: TUPO TAYARI KUVAANA NA AZAM FC, SAPOTI YA MASHABIKI

0
ABDALAH Mohamed,'Bares', Kocha Mkuu wa JKT Tanzania amesema kuwa leo vijana wake watapambana mbele ya Azam FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa...

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI

0
MUONEKANO wa UKURASA wa MBELE Gazeti la CHAMPIONI Jumamosi

YANGA NAO WAMO, REKODI YAO MWEZI FEBRUARI IPO NAMNA HII

0
LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga ndani ya mwezi Februari amekiongoza kikosi chake kucheza mechi saba za Ligi Kuu Bara.Kwenye pointi 21 alizokuwa anasaka...

MWEZI FEBRUARI SIMBA YAACHA REKODI HII MATATA, YAFUNGWA MABAO KIDUCHU, WALIYOFUNGA SASA

0
MWEZI Februari, mabingwa watetezi Simba wamecheza mechi saba za Ligi Kuu Bara na wameambulaia kichapo mechi moja mbele ya JKT Tanzania.Mchezo huo ulichezwa Uwanja...

UJUMBE HUU WA YANGA WATUMWA KWA ALLIANCE, GWAMBINA YAIPA KIBURI

0
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa umejipanga kusepa na pointi tatu leo mbele ya Alliance kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa Taifa.Ofisa...

SIMBA MACHO YOTE KWA KMC, KESHO TAIFA HAPATOSHI

0
MABINGWA watetezi Simba kesho, Machi Mosi watakuwa Uwanja wa Taifa kumenyana na KMC mchezo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na kumbukumbu ya kushinda kwa...

AZAM FC WATIA TIMU MAKAO MAKUU, KESHO KUVAANA NA JKT TANZANIA

0
KIKOSI cha Azam FC leo kimetia timu Dodomayalipo makao makuu ya nchi kwa ajili mchezo wao wa kesho dhidi ya JKT Tanzania.Azam FC kwenye...

KUMEKUCHA, SIMBA KUPOKEA UGENI LEO KUTOKA UJERUMANI UTAKAOWACHEKI WAKIMENYANA NA YANGA

0
JOTO la mchezo wa watani wa jadi kati ya Yanga na Simba limeanza kupanda ambapo kwa sasa timu ya Simba leo inatarajia kuwa na...

YANGA KUMALIZANA NA ALLIANCE KESHO TAIFA

0
YANGA kesho wataikaribisha timu ya Alliance FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa Uwaja wa Taifa.Mchezo huo unatarajiwa kupigwa kuanzia majira ya saa...

NDINGA MPYA KABISA KWA MIA NANE TU AMA JERO, NI RAHISI FANYA HIVI

0
BAHATI nasibu ya Jishindie Gari Mpya iliyoanzishwa na Kampuni ya Global Publishers kupitia magazeti yake ya michezo ya Championi na Spoti Xtra, imezinduliwa rasmi...