HESABU ZA SIMBA KWA KMC ZIPO NAMNA HII
UONGOZI wa Simba umesema kuwa hesabu kubwa kwa sasa ni kuelekea mchezo wao dhidi ya KMC utakaochezwa Uwanja wa Taifa, Machi Mosi.Kocha Mkuu wa...
AZAM FC YATAJA SABABU YA KUPIGIANA MIKWAJU NA IHEFU, SOKOINE
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa wapinzani wao Ihefu walionyesha ushindani jambo lililowapeleka mpaka hatua ya kupigiana mikwaju ya penalti.Kwenye mchezo wa hatua ya...
GWAMBINA: YANGA WALITIBUA MIPANGO YETU KIPINDI CHA KWANZA
FULGENCE Novatus, Kocha Mkuu wa Gwambina FC amesema kuwa wapinzani wao Yanga waliwazidi mbinu dakika 45 za mwanzo na kutibua mpango wao waliojiwekea mapema...
SIMBA:HAKUNA KOMBE GUMU KAMA SHIRIKISHO
SHIZA Kichuya amesema kuwa mechi yao dhidi ya Stand United ilikuwa ngumu kutokana na hatua ambayo walikuwa wanacheza na asili ya mashindano kuwa ni...
JERRY MURO ATAJA SABABU YA KUMTAJA MKWASSA KUWA KOCHA BORA KULIKO MZUNGU
JERRY Muro aliyewahi kuwa Ofisa Habari wa Yanga, amesema kuwa kocha msaidizi wa Yanga Charles Boniface Mkwasa ni bora kuliko kocha Mkuu wa sasa...
YANGA:TUMEANDAA SARE KWA AJILI YA SIMBA
UONGOZI wa Yanga umesema kuwa umejipanga kuona unapata matokeo chanya mbele ya Simba kwenye mchezo utakaochezwa Uwanja wa Taifa, Machi 8.Mchezo wa kwanza ambapo...
MASAU BWIRE YAMKUTA NAYE MAJANGA
MASAU Bwire, Ofisa Habari wa timu ya Ruvu Shooting amepelekwa kwenye Kamati ya Nidhamu ya TFF kwa kosa la kutoa taarifa za uongo kwenye...
ABALORA KIKWAZO NAMBA MOJA KWA IHEFU KUTINGA ROBO FAINALI FA
RAZACK Abalora mlinda mlango namba moja wa Azam FC jana alikuwa kikwazo namba moja kwa timu ya Ihefu FC inayoshiriki Ligi Daraja ka Kwanza...
JEMBE LA MTIBWA SUGAR LIMERUDI, RASMI KUANZA KAZI KESHO
UONGOZI wa Mtibwa Sugar umesema kuwa nyota wao Salum Kihimbwa amerejea rasmi uwanjani kutokana na kupona majeraha yake.Kihimbwa alikuwa nje ya kikosi hicho cha...
SIMBA YATOA TAMKO KUHUSU PENALTI MBILI ZA KAGERE
HASSAN Dilunga, kiungo mshambuliaji wa Simba amesema kuwa kukosa kwa penalti kwa mshambuliaji wa Simba Meddie Kagere ni sehemu ya mchezo ana imani atajifunza...









