LUKAKU APATA TIMU MBADALA

0
INTER Milan imethibitisha kuwa ipo kwenye harakati za kumsajili straika wa Manchester United, Romelu Lukaku. Kocha wa Inter Milan, Antonio Conte anamtaka Lukaku ili...

MNAMIBIA WA YANGA KUMBANA NA MTIHANI MZITO

0
UONGOZI wa Yanga hivi karibuni umemkabidhi mshambuliaji wake raia wa Namibia, Sadney Urikhob jezi namba 17 ambayo ilikuwa ikivaliwa na Mrundi, Amissi Tambwe.Kutokana na...

FRED MINZIRO AKUNJA JAMVI NDANI YA SINGIDA UNITED

0
FRED Minziro aliyekuwa Kocha Mkuu wa Singida United amesema kuwa kwa sasa yupo huru kujiunga na timu yoyote baada ya kumaliza mkataba wake ndani...

MBAPPE AWEKEWA NGUMU KUSEPA PSG AAMBIWA LABDA ALAZIMISHE

0
KYLIAN Mbappe mshambuliaji wa PSG amewekewa ngumu na uongozi wa kikosi hicho kutimka ndani ya kikosi hicho kutokana na mkataba wake kumtaka aendelee kubaki...

ANTOINE GRIEZMANN AINGIA KWENYE REKODI YA WACHEZAJI GHALI

0
ANTOINE Griezmann amejiunga na Barcelona kwa kusaini kandarasi ya miaka mitano akitokea kikosi cha Atletico Madrid.Nyota huyo mwenye miaka 28 anayekipiga timu ya Taifa...

MARIO BALOTELLI APATA DILI LA MAANA PARMA FC

0
MARIO Balotelli ambaye ni straika huenda akatua kwenye kikosi cha Parma baada ya kumalizana na kikosi cha Marseille.Mkurugenzi wa klabu hiyo, Daniele Faggiano ameweka...

KOCHA YANGA AANZA NA MBINU YA KUWAMALIZA AS VITA

0
Katika kuhakikisha kikosi cha Yanga kinakuwa imara zaidi msimu ujao, Kocha Msaidizi wa timu hiyo, Noel Mwandila amewaanzisha tizi la kibabe wachezaji hao kwa...

OKWI AAMUA KUIFUNGUKIA SIMBA

0
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi juzi jioni amewaaga rasmi wachezaji wenzake aliokuwa nao katika kikosi cha Simba msimu uliopita huku pia akiwaachia...