TANZANIA KESHO KAZINI KUMENYANA NA UGANDA MICHUANO YA CECAFA
KIKOSI cha Timu ya Taifa la Tanzania chini ya miaka 15 Kwa sasa kipo nchini Eritrea kwa ajili ya kushiriki michuano Kwa CECAFA kwa...
LAMPARD KWENYE KIBARUA KINGINE LEO LIGI KUU ENGLAND
KIKOSI cha Chelsea leo kitacheza mchezo wake wa pili wa Ligi Kuu England dhidi ya Leicester City.Mchezo huu utakuwa ni wa kwanza kuwa nyumbani...
SERIKALI YAIKUBALI YANGA, YAHOJI NANI ANAYESEMA NI DHAIFU
JERRY Muro, Mkuu wa Wilaya ya Arumeru mkoani ambaye aliwahi kuwa Ofisa Habari wa Yanga amewashangaa wanaodai kuwa Yanga ni timu dhaifu.Muro amesema: "Nani...
RATIBA YA MICHUANO YA CECAFA KWA TIMU YA TAIFA CHINI YA MIAKA 15
RATIBA ya michuano ya CECAFA kwa timu ya Taifa ya Tanzania ya vijana chini ya miaka 15
KISA ITC FAROUK NA WENZAKE WAWILI KUIKOSA TOWNSHIP ROLLERS WIKI IJAYO, PIGO YANGA
Inaelezwa kuwa kipa namba moja wa Yanga aliyesajiliwa hivi karibuni Farouk Shikalo ataukosa mchezo wa marejeano baina ya timu yake na Township Rollers katika...
MO AZUIA PRESS YA HAJI MANARA SIMBA
Na Haji ManaraBoss wangu (Mo Dewji) amezuia press yangu ya kesho na huyu ni mtu ninayemuheshimu sana ,niwahakikishie nitaendelea kufanya kazi katika Club hii...
HATMA YA SANCHEZ NDANI YA MANCHESTER UNITED HII HAPA
OLE Gunnar Solskjaer, Meneja wa Manchester United amesema kuwa anataka mshambuliaji wake machachari, Alexis Sanchez abaki ndani ya kikosi hicho.Solskjaer kesho atakuwa kibaruani kumenyana...
SERIKALI YAZINDUA MASHINDANO YA SPRITE BBALL KINGS VIWANJA VYA MLIMANI CITY, USAJILI KUENDELEA KESHO
MALINDE Lutiho Mahona, mwakilishi kutoka Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Jana alizindua rasmi mashindano ya Sprite Bball Kings kwenye viwanja vya Mlimani...
UONGOZI YANGA WASHINDWA KUJIZUIA, WASHUSA RUNGU KWA MASHABIKI WAKE
UONGOZI wa klabu ya Yanga, unalaani vikali kitendo cha kuchana jezi ya Simba kilichofanywa na baadhi ya watu wanaodaiwa kuwa mashabiki wa Yanga.Kitendo hicho...