EXCLUSIVE: YANGA YAMALIZANA NA KIFAA KIPYAA!!

0
Klabu ya Yanga imemalizana rasmi na Mlinda Mlango aliyekuwa anaichezea Mbao FC, Metacha Mnata.Usajili huo umekuja baada ya makubaliano ya pande zote mbili kati...

MECHI TANO ZA MWANZO KWA YANGA KUNAKO LIGI KUU BARA, WAMO COASTAL UNION

0
Mechi tano za mwanzo kwa Yanga pamoja na Simba hizi hapa

HAI YAZIDI KUWA MBAYA MAN UNITED

0
Wakala wa Kiungo wa Manchester United Paul Pogba anaamini "kutafikiwa suluhisho la kuridhisha hivi karibuni kwa pande zote" katika kuamua mustakabali wa mchezaji huyo.Ijumaa...

SABABU YA AZAM FC KUPOTEZA LEO MBELE YA KCCA HII HAPA

0
KOCHA msaidizi wa timu ya Azam FC, Idd Cheche amesema kuwa wamepoteza mchezo wa leo kutokana na mchanganyiko wa wachezaji wapya na wazamani.Akizungumza na...

MAKATA ALIYEZIPANDISHA ALLIANCE FC NA POLISI TANZANIA APEWA TIMU YA DODOMA

0
MBWANA Makata ameteuliwa kuwa Kocha Mkuu wa Dodoma FC inayoshiriki Ligi Daraja la kwanza.Godwin Kunambi ambaye ni Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma...

TANZANIA YAWALILIA WAANDISHI WATANO WALIOTANGULIA MBELE ZA HAKI KWA AJALI

0
OFISA Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Tido Mhando amesema kuwa ni ngumu kuamini juu ya safari ya wafanyakazi wenzake ambao wamefariki kwa ajali ila...

HAYA NDIYO MAKOMBE 40 YA NYOTA WA TIMU YA TAIFA YA BRAZIL ALVES

0
Dani Alves ametwaa jumla ya makombe 40 tangu aanze kucheza mpira mia ka 18 iliyopita.Nyota huyo anayekipiga Paris Saint German raia wa Brazil alianzia...

EXCLUSIVE: SIMBA YAMALIZANA NA NYOTA WATATU WA YANGA

0
GADIEL Michael sasa rasmi ni mchezaji wa Simba akitokea Yanga ambapo amesaini kandarasi ya miaka miwili.Gadiel anaungana na wachezaji wenzake wawili na kufikisha jumla...