MCHEZAJI YANGA ATAJA MADHAIFU YA TIMU HIYO KUELEKEA MECHI NA ZESCO, AONYA

0
Aliyewahi kuwa mchezaji wa Yanga, Ally Mayay Tembele, amelitaka benchi la ufundi la timu hiyo chini ya Kocha Mkuu, Mwinyi Zahera, kuhakikisha inafanyia kazi...

NADO ATUPIA KAMBANI AZAM IKIITWANGA KMC 1-0 UWANJA WA UHURU

0
Azam FC imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya KMC FC, mechi ikichezwa kunako Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.Mechi hiyo...

WASHINDI WA MILIONI 825 ZA JACKPOT BONUS SPORTPESA WAELEZEA WALIVYOZIPATA

0
WASHINDI wawili wa Shilingi 825, 913, 640 za Jackpot Bonus ya SportPesa jana waliwasili jijini Dar es Salaam na kukabidhiwa mamilioni yao huku wakifungukia...

KOCHA AUSSEMS AELEZA SABABU ZA KUMUWEKA KANDO MKUDE KIKOSI KINACHOANZA LIGI KUU

0
Yule kiungo mkabaji wa Simba, Jonas Mkude leo alikosekana kwenye mazoezi ya timu hiyo yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Gymkhana, Posta jijini Dar es Salaam.Timu...

BAADA YA KUAGA CAF, KOCHA SIMBA ANAAMINI HIKI NDIO KITU SAHIHI CHA KUFANYA

0
Ikiwa ni baada ya kuondolewa kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Kocha Mkuu wa Simba Mbelgiji, Patrick Aussems amesema kuwa hasira zote wanazihamishia kwenye Ligi...

EXCLUSIVE: BARAKA MPENJA ATAJA TIMU ANAYOSHABIKIA – VIDEO

0
Mtangazaji wa kituo  Azam TV, Baraka Mpenja a.k.a Sauti ya Radi ambaye utangazaji wake umekuwa gumzo katika mitandao ya kijamii na watu wengi wakisema...

AZAM KUANZA NA MAKALI LIGI KUU

0
Uongozi wa Azam FC umesema kuwa timu yao ipo tayari kwa ajili ya msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara.Mtendaji Mkuu wa Azam FC,...

PICHAZ: SIMBA WALIVYOJIFUA GYMKHANA KWA AJILI YA MECHI NA JKT TANZANIA

0
Kikosi cha Simba SC kimeendelea na mazoezi yake leo kunako Uwanja wa Gymkhana jijini Dar es Salaam yakiwa ni sehemu ya maandalizi kuelekea mchezo...

MHALIFU ALIYEWAPIGA WANAHABARI MIKWARA, AIBUKA NA NYINGINE KALI MAHAKAMANI LEO

0
Hamis Luwongo anayetuhumiwa kumuua na kumchoma moto mkewe, Naomi Marijani amezua kioja kingine Mahakamani Kisutu baada ya kuiomba mahakama impatie simu zake mbili, atoe...

DAR ES SALAAM CORRIDOR GROUP KUMUONA MO SALAH LIVE ANFIELD

0
DAR ES SALAAM Corridor Group, mabingwa wapya wa Kombe la Standard Chartered Bank msimu wa mwaka 2019/20 wamepata fursa ya kufanya utalii nchini England...