TANZIA: NYOTA WA ZAMANI WA TIMU YA GHANA AFARIKI DUNIA

0
MCHEZAJI wa zamani wa timu ya Ghana, Junior Agogo amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 40.Agogo ambaye alianza kukipiga katika klabu ya Sheffield...

MBEYA CITY WANAMAINGIZO MAPYA YA KUTOSHA MBALI NA TIMU ZA TPL, CHEKI ORODHA YAO...

0
MBEYA City wao wana mashine mpya kutoka timu nyingine za kutosha ambazo hazishiriki Ligi Kuu Bara, cheki nazo hizi hapa:-

KIUNGO WA RWANDA AIPA USHINDI SIMBA YA MBELGIJ MBELE YA UD SONGO, ATAJA SABABU

0
KIUNGO wa zamani wa timu ya Simba Haruna Niyonzima ambaye kwa sasa anakipiga timu ya AS Kigali ya Rwanda amesema kuwa nafasi ya Simba...

NJEMBA ANASWA NA VIDEO 555 ZA NGONO

0
RAIA mmoja wa Colombia ambaye jina lake halikutajwa, ameshikwa na polisi wa Hispania akiwa na video 555 zenye kuonyesha sehemu za siri za wanawake...

FAMILIA YAPINGA MAHAKAMANI WOSIA WA MENGI, MAZITO YAIBUKA

0
FAMILIA ya aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Limited, Marehemu Dkt. Reginald Mengi imewasilisha pingamizi katika Mahakama Kuu, ikipinga wosia wa Mengi aliouandika...

MABADILIKO MENGINE LIGI KUU BARA YAFANYWA, KUHUSU IDADI YA TIMU, MENGINENO YAKO HAPA

0
Mabadiliko ya kanuni za Ligi Kuu Bara kuanzia msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania.

YULE MKAZI WA DAR ES SALAAM ALIYELAMBA MKWANJA WA SPORTPESA

0
Mkazi wa Dar es Salaam, Yusuph Rajabu Changuvu akikabidhiwa mfano wa hundi ya shilingi 6,330,966 baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 11 kati ya...

HILI HAPA JESHI ZIMA LA MAUAJI LA LIPULI FC MSIMU MPYA

0
HILI hapa Jeshi Kamili la mauaji la Lipuli FC kwa msimu mpya wa mwaka 2019/20

ZAHERA AMUACHA KIUNGO YANGA

0
AKIWA na uhakika wa safari ya Botswana, kiungo mshambuliaji, Jaffer Mohamed ‘rasta’ juzi alikatwa dakika za mwisho na kuwekwa mshambuliaji raia wa Kenya, Maybin...

REKODI YAOBEBA SIMBA CAF

0
ZIKIWA zimebaki takribani siku nne kabla ya Simba kuivaa UD do Songo kutoka Msumbuji, rekodi zinaonyesha kuwa Simba wana asilimia kubwa ya kuibuka na...