Trending Stories
View All
BREAKING: KARIA APITISHWA NA WAJUMBE KUWA RAIS MTEULE WA TFF
BREAKING: Wallace Karia amepitishwa na wajumbe wote 81 kuwa Rais mteule wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF). Karia amepitishwa kwa…
VIDEO: SIMBA WAIFANYIA BALAA YANGA, YASEPA NA BEKI
IMEELEZWA kuwa Simba ipo kwenye hesabu za kuinasa saini ya nyota Congo, Henock Baka ambaye anatajwa kuwindwa na Yanga.
MANCHESTER UNITED BADO WANAAMINI WATAMPATA HAALAND
MANCHESTER United inaamini kwamba itafanikiwa kuipiga bao Chelsea kwa kumpata staa wa Borussia Dortmund, Erling Haaland. Haaland kwa sasa amekuwa…
U 23 MNASTAHILI PONGEZI, KAZI INAENDELEA KWA WAKUBWA
WAKATI mwingine tena ambao vijana wetu wa Tanzania wamefanya vizuri. Ilikuwa ni kwenye Cecafa U 23 iliyofanyika nchini Ethiopia. Kwa…
SONSO AJIFUNGA MWAKA MMOJA NDANI YA RUVU SHOOTING
KAZI imeanza kwa mabosi wa Ruvu Shooting baada ya kumpa dili la mwaka mmoja Ally Mtoni, ‘Sonso’ mkataba wa mwaka…
VIDEO:KISA MO, CHAMA KUONDOKA SIMBA
NYOTA wa Simba, Clatous Chama amesema kuwa anaweza kuondoka ndani ya timu ya Simba ikiwa atapata ofa kwa kuwa yeye…
YANGA KUTUPA KETE YE MWISHO, YAPANIA KUFUZU NUSU FAINALI
KIKOSI cha Yanga leo kinatarajiwa kuwa na kazi ya kusaka pointi tatu kwenye mchezo wake wa tatu wa Kombe la…
VIWIKO NDANI YA UWANJA MUDA WAKE UMEISHA
IMEKUWA kawaida kwa sasa wachezaji kupewa adhabu kutokana na ugomvi wanaoonyesha ndani ya uwanja. Sio kwa msimu huu ambao umemeguka…
AZAM FC KUENDELEA PALE WALIPOISHIA
IDD Kipagwile na Paul Peter nyota wa Azam FC wana kazi ya kuendelea pale walipoishia kwa kutimiza majukumu yao watakapokuwa…
CLATOUS CHAMA AFUNGUKA ISHU YA TUZO BONGO
CLATOUS Chama nyota wa Simba amesema kuwa anahitaji tuzo zake zote ambazo alisepa nazo msimu uliopita kwa kuwa anastahili. 2019/20…
YANGA YAINGIA ANGA ZA KIPA HUYU WA MALI
IMEELEZWA kuwa Yanga ipo kwenye hesabu za kumalizana na kipa namba moja wa timu ya taifa ya Mali ili aweze…
SIMBA YATUMIA MBINU ZA YANGA KUMNASA STRAIKA, NDANI YA CHAMPIONI JUMAMOSI
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Jumamosi
WAJUMBE TFF WATEMBELE ENEO LA MRADI TANGA
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) leo Agosti 6 walipata nafasi ya kutembelea Mradi wa Ujenzi…
MAKAMBO ABAINISHA KUWA AMEKUJA KUCHUKUA MAKOMBE
“NIMEKUJA kufanya kazi.” ndilo neno pekee ambalo amelisema mshambuliaji mpya wa Klabu ya Yanga, Heritier Makambo tena kwa msisitizo mkubwa baada ya kusaini mkataba na kutambulishwa kuwa mchezaji mpya…
VIDEO:MAKAMBO, MAYELE WASEPA BONGO
NYOTA wawili wa Yanga ambao wamesaini madili mapya msimu huu wa 2021/22 wamesepa na kuibukia Congo kwa ajili ya mapumziko…