Trending Stories
View All
LIONEL MESSI ALITUMIA MIAKA 20 BARCELONA
LIONEL Messi sasa msimu ujao atakuwa katika changamoto mpya baada ya mabosi wake Barcelona kutangaza rasmi Agosti 5 kwamba hatakuwa…
GREALISH AVUNJA REKODI YA USAJILI
USAJILI wa nyota wa Aston Villa ndani ya kikosi cha Manchester City , Jack Grealish ambaye amepewa dili la miaka…
KWA MAYELE NA DJUMA, YANGA IMEPATA WATU WA KAZI, SIMBA WAONYWA
KOCHA Msaidizi wa AS Vita, Raoul Shungu ameibuka na kusema kuwa kitendo cha Yanga kuwanasa nyota wake wawili, mshambuliaji Fiston Mayele na beki Djuma Shaban…
MSHAMBULIAJI NAMBA MOJA KMC AOMBA KURUDI SIMBA
MSHAMBULIAJI Charles Ilnfya ambaye alipelekwa kwa mkopo ndani ya KMC ili akuze kiwango chake, amesema kuwa kwa sasa yupo tayari kurudi Simba ili kuendelea pale…
AZAM FC YAWEKA REKODI TAMU KAGAME, KOCHA ATOA NENO
VIVIER Bahati, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesma kuwa vijana wake wanastahili pongezi kwa kuweza kutinga hatua ya nusu fainali…
LIONEL MESSI KUIBUKIA MANCHESTER CITY
BAADA ya taarifa rasmi kutolewa na Klabu ya Barcelona Agosti 4 zikieleza kuwa, nyota wao Lionel Messi raia wa Argentina…
YANGA YATUA KWA MGHANA, MJADALA MO KUTISHIA KUSEPA SIMBA, NDANI YA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele gazeti la Championi Ijumaa
MUONEKANO WA UKURASA WA NYUMA GAZETI LA CHAMPIONI IJUMAA
MUONEKANO wa ukurasa wa nyuma gazeti la Championi Ijumaa
MTAMBO WA MABAO NDANI YA SIMBA UNATIMIZA MIAKA KADHAA LEO
NI mfungaji bora ndani ya Ligi Kuu Bara akiwa ametupia mabao 16 na pasi mbili za mabao. Pia katika kabati…
HILI HAPA CHAMA KAMILI LA YANGA, WANAOACHWA PIA WATAJWA
YANGA haitaki masihara, tayari imekamilisha usajili wa baadhi ya wachezaji katika kuhakikisha wanafanya vema kwenye msimu ujao wa Ligi Kuu Bara na Ligi ya Mabingwa Afrika. Baadhi ya…
KAKA ANA TUZO KIBAO KABATINI MWAKE
AMELETWA duniani Aprili 22,1982 ana umri wa miaka 39 ni raia wa Brazil jina lake anaitwa Ricardo Izecson dos Santos…
AZAM FC BADO IPO CHIMBO KUSHUSHA MAJEMBE YA KAZI
UONGOZI wa Azam FC umeweka wazi kwamba bado upo chimbo kwa sasa kuendelea kusaka majembe mapya kwa ajili ya msimu…
KAGERA SUGAR:TUTAFANYA USAJILI MZURI KUFIKIA MALENGO
FRANCIS Baraza, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa watafanya usajili mzuri kwa msimu wa 2021/22 ili waweze kufikia malengo…
AZAM FC KAZINI TENA LEO KOMBE LA KAGAME
VIVIER Bahati, Kocha Msaidizi wa Azam FC amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa leo kwenye Kombe la…
ARSENAL KUMCHOMOA KIUNGO MADDISON NDANI YA LEICESTER CITY
ARSENAL imetoa ofa kwa Leicester City ya kutoa fedha pamoja na mchezaji kati ya Hector Bellerin ama Eddie Nketiah ili…
VIDEO: YANGA YATAJA KILICHOKUWA KINAWAKWAMISHA, HAJI ATABANWA
HAJI Mboto shabiki wa Yanga amesema kuwa Haji Manara ambaye alikuwa ni Ofisa Habari wa Simba anataka kuelezea namna Simba…