Tag: Simba
YANGA, SIMBA LIGI YA MABINGWA NUSU FEDHEA NUSU HESHIMA
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba na Yanga bado wako kwenye hatihati ya kuingia hatua ya robo fainali ya...
MANGUNGU AWAPA NENO MASHABIKI WA SIMBA BAADA YA USHINDI A JANA
Mwenyekiti wa Simba SC, Murtaza Mangungu, amesema timu yao imepitia kipindi kigumu cha kukosa matokeo lakini sasa wameanza kuyapata hivyo mashabiki waiunge mkono timu.
Amesema...
ISHU YA PENATI YA SIMBA KURUDIWA IPO HIVI
Mchambuzi wa soka Amri Kiemba, ameainisha kwa nini penalti kwenye mchezo wa Simba dhidi ya Kagera iliyochezwa jana katika Uwanja wa Uhuru ilirudiwa.
Amesema kurudiwa...
UNAAMBIWA SIMBA WALICHEZA PIRA GIMBI DHIDI YA WYDAD MCHAMBUZI AFUNGUKA HAYA
Mchambuzi wa masuala ya soka nchini kutoka EA Radio, Ibra Kasuga amesema kuwa, Timu ya Simba haikucheza mchezo wowote mzuri kwenye mechi yao ya...
SIMBA WAITISHA MKUTANO MKUU KISA HIKI HAPA
Bodi ya Wakurugenzi ya Simba Sports Club imewataarifu wanachama wake kuwa Mkutano Mkuu wa Mwaka utafanyika Jumapili Desemba 21, 2023 katika Ukumbi wa Julius...
SIMBA NA ADEBAYOR BILA KUCHOKA
Kikosi cha Simba kinatarajia kushuka uwanjani jioni ya leo Ijumaa kuvaana na Kagera Sugar, huku mabosi wa klabu hiyo wakirudisha hesabu zao kwa nyota...
KIVUMBI LEO BENCHIKHA AINGIA KATIKA MTIHANI MWINGINE
Simba inarudi tena uwanjani jioni ya leo Ijumaa dhidi ya Kagera Sugar katika mechi ya Ligi Kuu Bara, ikiwa na kumbukumbu mbaya ya kutoonja...
UNAAMBIWA MASTAA HAWA WATATU TU NDIO WAMEMKOSHA BENCHIKHA
Viungo watatu wa Simba, Sadio Kanoute, Fabrice Ngoma na Mzamiru Yassin wamemwagiwa sifa na kocha mkuu wa timu hiyo, Abdelhak Benchikha.
Kama ambavyo kocha aliyepita...
KAMA SEZONI LA KIKOREA … SASA VITA IMEHAMIA LIGI KUU, HAPA...
Baada ya kuambulia matokeo mabaya kwenye Michuano ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika, Miamba ya Soka la Bongo Simba SC na Young Africans inatarajia...
KOCHA WA TIMU YA TAIFA YA MOROCCO AMPIGA KIKUMBO BENCHIKHA CAF
Kocha timu ya Taifa ya Morocco, Walid Regragui ameshinda tuzo ya kocha bora wa mwaka 2023 baada ya kuiongoza Morocco kumaliza nafasi ya nne...