Tag: skudu
YANGA WAFUNGUKA KUHUSU SKUDU, NI JAMBO LA MUDA TU
Yanga SC wamesema Mahlatse Makudubela Manoka 'Skudu' yupo na muda ukifika wa kucheza basi Wanayanga watamuona uwanjani akiitumikia klabu yake.
Akizungumza na Wasafi FM, Afisa...
SKUDU KAMA NZEGELI SASA, MAMBO YAPO HIVI
Winga wa Yanga Skudu Makudubela ameamua kupita njia za kiungo wa Yanga raia wa Congo Maxi Mpia Nzengeli.
Skudu ameonekana jana katika mazoezi ya Yanga...
SKUDU ATOA KAULI NZITO BAADA YA KUREJEA NCHINI
Winga wa Klabu ya Yanga, Skudu Makudubela amerea nchini Tanzania akitokea kwao Afrika Kusini alikokuwa amekwenda kwa ajili ya matibabu baada ya kuumia kwenye...
SKUDU ATIMKA YANGA, UONGOZI WAFUNGUKA…. ISHU IKO HIVI
Klabu ya Yanga imethibitisha kuwa winga wake Mahlatse Makudubela 'Skudu' ameondoka nchini jana kurudi kwao Afrika Kusini kwa ajili ya kushughulikia zoezi la kupata...
MAYELE AWAACHIA MSALA MZITO MAXI, SKUDU YANGA
ALIYEKUWA mshambuliaji wa Yanga, Mkongomani, Fiston Mayele, amesema anaamini usajili uliofanywa na timu hiyo, unatosha kabisa kutetea makombe yote ya ndani katika msimu ujao...
HUKO YANGA MAMBO NI MOTO, SKUDU, NZEGELI WAPEWA MTIHANI HUU
YANGA imerudi kambini Avic Town kujiandaa na mechi za Ngao ya Jamii, zitakazopigwa kuanzia Agosti 9, huku kocha mkuu wa timu, Miguel Gamondi akiomba...
SKUDU AIPIGA MKWARA SIMBA, AFUNGUKA HAYA
Kiungo Mshambuliaji kutoka nchini Afrika Kusini aliyesajiliwa na Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans Mahlatse Makudebela ‘Skudu’, amesema anataka kuwaona Simba SC ili...
HUKO KAMBINI KWA YANGA SIO POA, HAPA SKUDU PALE MAXI GAMONDI...
KAMA ulipanga kukosa kesho kwenye kilele cha wiki ya wananchi pale Uwanja wa Benjamin Mkapa. Badili akili yako,huo moto ulioko huko mazoezini siyo wakuukosa....
SKUDU NA SAKATA LA JEZI YA FEI TOTO YANGA
Nyota mpya wa Yanga,Mahlatse Makudubela’Skudu’ amesema hakuchagua kutumia jezi namba sita bali alichaguliwa.
Skudu amezungumza hayo leo muda mfupi kwenye mkutano na waandishi wa habari...