LEO wawakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya Kagame inayofanyika nchini Rwanda watakuwa kazini kupeperusha Bendera.
KMC watakuwa wa kwanza kurusha kete yao leo majira ya saa 7:00 mchana watamenyana na Atlabara, huu pia ni mchezo wa kwanza kwa kocha mpya Jackson Mayanja.
Azam FC ambao ni mabingwa watetezi watarusha kete yao majira ya saa 9:00 alasiri watamenyana na Mukura, huu utakuwa ni mchezo wa kwanza kwa kocha wao mpya Ettiene Ndayiragije.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.