WILFRED Kidao, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) amesema mdhamini wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu ujao wa 2019/20 ameshapatikana na kinachosubiriwa ni kusainiwa kwa mkataba.
Kidao ametoa taarifa hiyo wakati akijibu maswali ya wadau mbalimbali wa soka kupitia ukurasa rasmi wa twitter wa shirikisho hilo, utaratibu alioamua kuufanya mara moja kila wiki.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.