MWINYI Zahera Kocha Mkuu wa Yanga, leo ameanza rasmi kukinoa kikosi chake ambacho kimeweka kambi mkoani Morogoro.
Zahera amesema kuwa kwa sasa anasubiri nyota wake mmoja ili afunge jumla mahesabu ya usajili.
“Malengo makubwa ya kwenye usajili kwa kisasi kikubwa yamekamilika, kwa sasa kuna nafasi moja tu ya mchezaji kwa nafasi ya ushambuliaji kisha baada ya hapo tunafunga hesabu jumla,” amesema Zahera.
Dirisha la usajili kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu Bara pamoja na Ligi Daraja la kwanza linafugwa kesho Julai 31.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.