SELEMAN Matola, Kocha wa Polisi Tanzania amesema kuwa ushindani msimu ujao utakuwa mgumu kutokana na timu zote kujipanga kwa ushindani.
Matola amesema kuwa kila kitu kinakwenda sawa kwa timu nyingi kujipanga kiushindani licha ya kutototangazwa kwa mdhamini mkuu.
“Ushindani msimu ujao utakuwa mkubwa na kila timu imejipanga, ila changamoto kubwa ambayo ipo kwa sasa ni kwa upande wa mdhamini mkuu kwani mambo bado.
“Endapo atapatikana mdhamini ligi itanoga kwani timu nyingi kwa sasa zinajiendesha zenyewe na hali sio shwari kiuchumi,” amesema.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.