KIKOSI cha Timu ya Taifa ya Tanzania Chini ya Miaka 15 leo kimeanza kwa kuchechemea mbele ya Uganda kwa kupoteza mchezo wa kwanza kwa kufungwa mabao 2-0.
Tanzania ambayo inashiriki michuano ya CECAFA kwa timu za Vijana chini ya Miaka 15 imepangwa kundi B na leo imetupa kete yake ya kwanza.
Michuano hiyo inafanyika nchini Eritrea uwanja wa Asmara imeanza Agosti 16 na itakamilika Agosti 30.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.