UHURU Seleman nyota wa zamani wa timu ya Simba ambaye ni raia wa Tanzania amesema kuwa sababu kubwa ya kujiunga na timu ya FC Lupopo ya Congo ni kuhitaji kuwa karibu na familia yake.
Seleman amesaini kandarasi ya miaka miwili ni kwenye klabu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu ya Congo akitokea kikosi cha Royal Eagles cha Afrika Kusini kinachoshiriki Ligi Daraja la Kwanza na alidumu Kwa muda wa miaka minne.
“Nimeondoka Royal Eagles, nawashukuru kwa ushirikiano wao na nipo FC Lupopo Kwa mkataba wa miaka miwili na sababu kubwa nitakuwa Karibu na familia yangu,” amesema.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.