Simba 1-1 Polisi Tanzania
Sabilo gool dk 22
Bocco Goaal dk 56
MPIRA kati ya Simba na Polisi Tanzania ya Moshi Uwanja wa Taifa ni kipindi cha pilBao ni 1-1 kwa sasa Uwanja wa Taifa
Haujaanza kutokana na tatizo la taa Uwanja wa Taifa baada ya kujadiliana kwa muda kidogo umeanza na sasa unaendelea
Polisi Tanzania walianza kufunga bao lililopachikwa kipindi cha kwanza na nyota wa Polisi Tanzania Sixtus Sabilo dakika ya 22.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.