Simba 0-0 JKT Tanzania
Uwanja wa Uhuru
MCHEZO ulianza kwa sasa Uwanja wa Uhuru ni kati ya Simba na JK Tanzania.
Nyota wapya wa Simba, Luis na Shiza Kichuya wameanza leo kwa mara ya kwanza.
Mashabiki wamejitokeza kushuhudia ushindani uliopo kwani leo ni mechi ya kisasi.
Mchezo wa kwanza walipokutana Simba ilishinda mabao 3-1
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.