UONGOZI wa Simba umesema kuwa kuelekea Machi 8 hautakuwa na maneno mengi zaidi ya kuwataka mashabiki wakutane uwanjani kuongea kwa vitendo.
Machi 8 kutakuwa na pambano la watani wa jadi litakalowakutanisha Yanga na Simba ikiwa ni mchezo wa mzunguko wa pili.
Simba inakumbukumbu ya kulazimisha sare ya kufungana mabao 2-2 kwenye pambano la kwanza lililopigwa Januari 4 Uwanja wa Taifa.
Ofisa Habari wa Simba Haji Manara amesema:-“Tunaziba kabisa mdomo kuhusu hiyo Machi nane, hapana kikubwa zaidi ya kusema tukutane uwanjani,”.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.