LUC Eymael, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa sababu kubwa ya timu yake kuambulia sare kwenye mechi zake nyingi ni ujanja wa timu pinzani ndani ya Uwanja.
Yanga imeambulia sare nne mfululizo ilianza mbele ya Mbeya City kwa kufungana bao 1-1, Tanzania Prisons 0-0, Polisi Tanzania 1-1 na jana 0-0 mbele ya Coastal Union.
Eymael amesema kuwa :” Wachezaji wa timu pinzani wamekuwa ni mafundi wa kujiangusha na kupoteza muda bure jambo ambalo linapunguza kasi ya washambuliaji na wachezaji kupata matokeo,’.
Yanga imekusanya pointi 41 ipo nafasi ya nne ikiwa imecheza mechi 22.
Sign in
Welcome! Log into your account
Forgot your password? Get help
Password recovery
Recover your password
A password will be e-mailed to you.