Home Uncategorized HAALAD: LAZIMA TUUNGANE KUPAMBANA NA CORONA, USIJIHISI UPO PEKE YAKO

HAALAD: LAZIMA TUUNGANE KUPAMBANA NA CORONA, USIJIHISI UPO PEKE YAKO


NYOTA Erling Braut Haalad anayekipiga Dortmund kuhusu Virusi vya Corona ni lazima tuungane wote katika mapambano.

Virusi vya Corona vimekuwa janga la dunia ambapo kwa sasa shughuli nyingi zimesimama kupisha maambukizi zaidi ya Virusi hivi.

“Hili janga ni letu sote iwapo utajihisi upo peke yako katika kupambana nalo usifikirie hivyo, ni lazima tuungane katika mapambano.

“Tunahitaji utulivu wa akili na fikra kwenye mapambano haya ili tuweze kupita na kushinda salama.

“Nina amini Mungu wetu atatufanyia njia nasi tutatoka kwenye mtihani huu mgumu,” amesema.

SOMA NA HII  LUIS AMEWAFUNIKA WOTE BONGO KWA KUVUTA MKWANJA MREFU