Home Uncategorized HAWA HAPA WANAHUSIKA KWENYE MABAO YA MUUAJI WA SIMBA

HAWA HAPA WANAHUSIKA KWENYE MABAO YA MUUAJI WA SIMBA


BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Yanga amesema kuwa mabao yake yanachangiwa kwa kiasi kikubwa na dua maalum ambazo zinafanywa na mke wake pamoja na binti yake.
Morrison amesema mkewe anahusika kwenye mabao anayoyafunga kutokana na dua maalum ambazo anazozifanya.

Machi 8 wakati akiifunga Simba, Morrison alikuwepo uwanjani na kushuhudia bao hilo likifungwa.
“Mke wangu na binti yangu wamekuwa wakifnya dua ambazo zinapa nguvu ya kufanya vizuri hivyo shukrani zangu kwao kwa sapoti yao.
  
Morrison amefunga mabao matatu ndani ya Yanga na ametoa pasi tatu za mabao.
SOMA NA HII  STRAIKA SIMBA ASIFIA USAJILI WA BALINYA YANGA